Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Sasa kama mtu amekuwa mbunge kwa miaka ishirini na ameshindwa kutoa maji yaliyopo umbali wa mita kama 100 kutoka mjini, lakini leo anatuahidi kupeleka maji vijijini, (Tanzania nzima kwa miaka mitano). TUTAMWAMINI vipi???? Ndio hivyo tena HATUNA NAMNA NYINGINE
ndio maana ccm ilipigwa vibaya sana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa .
 
Nyie Chato hamuijui.

Kabla ya Magufuli chato kilikuwa kijiji yani bushiiiii. Ktk Wilaya zote Tanzania Chato ndo imepiga hatua kutoka kijiji hadi muonekano muonekano kwa kasi mno. Alichofanya Magufuli hadi mnayoiona hiyo chato ya leo kafanya kazi kubwaaaa mnoooooooooooo
 
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.

Membe anahaha kwa kufanya kila njia sasa kaleta waganga wa kienyeji 200 toka mataifa mbalimbali waje kumhujumu ukawa, Lakini cha ajabu anashangaa ukawa wanazidi kupaa zaidi.
 
Katika hali isiyo ya kawaida wananchi wa wilaya ya chato anapotoka mgombea wa ccm walijitokeza kwa wingi kutoa kero zao kwa mgombea wa ukawa E.L ingawaje akuweza kuhutubia kutokana na vyombo vya sauti kutofanya kazi.


source ITV
 
Hizi nock out za mapema, Lowassa hamtendei haki Magufuli.

Huko kwingine ni mifano midogo kazi inaandaliwa Jimboni kwa Nape ambapo ni Ngome ya Membe yule Adui namba moja wa Lowasa huko ndipo wanajiandaa kupiga mkutano wa kihistoria ingawa Membe ameleta Waganga wa kienyeji wengi kuwazuia wasifanikishe kupata watu Jimboni kwa Nape ili kumwokoa Nape vuvuzela ambaye amekuwa akitumiwa na Membe kumhujumu Lowasa kwa mbinu mbalimbali.
 
Back
Top Bottom