Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huyo lowassa naye MUNDULI HAKUNA MAJI NA ALIPEWA BILLION 45
w.senteuh, leo unatimiza wiki moja toka ujiunge na JF, tafadhali usilidhalilishe jamvi letu na usitudhalilishe sisi ambao tumekuwa humu kwa muda mrefu. Nashangaa sana kwamba hata kwa kitu kinachohitaji homework kidogo tu kuthibitisha, mko watu mtakurupuka hovyo namna hii bila utafiti wowote kupinga...nachukia kweli tabia hii, hebu pitia hapa;jaman acheni uzushi na uongo!!!!picha hizo ni geita mjini!!!!chato hapakuwa na watu!!!mkutano ulihailishwa!!!tena kaongea lissu peke yake na kusema vyombo vizur sana lakin watarudi sku nyingine kufanya mkutano kabla ya uchaguz!!!!semen kwel itawaweka huru!!!!matoke yakitokamsije sema kula zimeibiwa!!!jiandaen kisaikolojia kumbembeleza robot tusije pata msiba wa kitaifa!!!!ok
jaman acheni uzushi na uongo!!!!picha hizo ni geita mjini!!!!chato hapakuwa na watu!!!mkutano ulihailishwa!!!tena kaongea lissu peke yake na kusema vyombo vizur sana lakin watarudi sku nyingine kufanya mkutano kabla ya uchaguz!!!!semen kwel itawaweka huru!!!!matoke yakitokamsije sema kula zimeibiwa!!!jiandaen kisaikolojia kumbembeleza robot tusije pata msiba wa kitaifa!!!!ok
jaman acheni uzushi na uongo!!!!picha hizo ni geita mjini!!!!chato hapakuwa na watu!!!mkutano ulihailishwa!!!tena kaongea lissu peke yake na kusema vyombo vizur sana lakin watarudi sku nyingine kufanya mkutano kabla ya uchaguz!!!!semen kwel itawaweka huru!!!!matoke yakitokamsije sema kula zimeibiwa!!!jiandaen kisaikolojia kumbembeleza robot tusije pata msiba wa kitaifa!!!!ok
Magufuli chato hana chake, ooh..utafiti wa ccm kuwa kwa kampen walizofanya mpaka saiv watashinda kwa 69.3% huu ni uongo wa makamba wametumia indicator gani..? Kama ni wingi wa watu kwenye mikutano basi UKAWA watashinda kwa asilimia 89.9%
hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NA KINA WEMA?????
MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.
LOWASSA ni habari nyingine.
Wewe ndiye mzushi, inaonekana umeumia sana kuona mwitikio wa wanachato kwa EL. Mkutano haukufanywa Geita na sababu ni kuwa haihuwa siku yake hiyo jana. Ngumu kumesa eeh???????? Magufuli Chato hata ubunge ilikuwa hati hati!!!!
Yaani nchi tumkabidhi fisadi!!hapana haiwezekani
Hilo sisi halituhusu wala hatuna ubishi nalo. Unaweza kumwacha mkeo mimi nikamuoa na akawa mke bora kabisa labda ulikuwa unanfuja je. Rasi mwaka huu upende usipende ni Lowasa. CCM tumeichokaaa........!!
Nimekuwepo Chato mwenyewe,
Wananchi wameshaamua Rais ni Lowassa tu.
Yaan Huwezi amini kama ni nyumbani kwa Magfuli ndo jamaa anapendwa hivi!!.
Viva Lowasa
Atakuwa ndio rais wa kwanza duniani asiyejua kuongea,yaani mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia hivihivi!!!