mtoto mpole
JF-Expert Member
- Mar 22, 2010
- 678
- 148
hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NA KINA WEMA?????
MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.
LOWASSA ni habari nyingine.
Hahahahahaaaa king'amuzi gani mkuu? Samsung au LG.
Hata kampeni za kupunguza maambukizi ya HIV wanatumia wasanii kuwavuta pale ili wapate elimu ya Afya na mwisho wa siku watu wanapata elimu. Saizi kila mtu anajua UKIMWI ni nini.
Je monduli yapo!!??
Magufuli alisema tumuhukumu kwa maendeleo aliyoyapeleka Chato, il tuone kama hafai kumpa nchi
Sasa huu mrejesho mfupi wa tuliyoyaona huko, kwa kweli Magufuli amejitahidi sana kuweka taa za barabarani japo hakuna magari yanayohitaji kuongozwa na mataa hayo.
Mitaa mingi ya mjini imeweka lami, na barabara kuu ya kwenda Bukoba kupitia Chato ina lami (japo ni ya kiwango cha chini sana). Amejitahidi kujenga Hotel yake ya kifahari na Apartment za kutosha (JS MOTEL), tena ilifunguliwa na Mkapa pamoja na Raila Odinga japo yeye amesikika akisema hapendi matajiri (ni mfanya biashara)
Sasa tukirudi kwenye hali halisi ya maisha kwa mwananchi wa kawaida, utashangaa. Maisha ni duni mno, kuna ziwa lakini hakuna hata kiwanda cha kusindika samaki japo yeye amesikika ukishangaa ni kwa nini ukanda wote wa bahari ya hindi hakuna kiwanda cha samaki. Kuna ziwa lakini maji safi ni ya shida sana japo yeye amesikika aki ahidi maji safi na salama kwa vijiji vyote Tanzania kama akipata ridhaa. Watu wanachota maji ziwani kwenda kupikia.
Magufuli amekuwa Mbunge kwa miaka ishirini lakini ameshindwa kuwapatia watu wake maji safi tena yaliyopo umbali wa mita mia tu. Ameshindwa kuwapatia watu wake kiwanda ili vijana wapate ajira japo malighali zipo.Sasa anapata wapi uhalali wa kutuambia kuwa atatuletea Ajira, atatuletea Maji Safi na Salama, na atatujengea viwanda????
HUYU AMESHINDWA kabla hajaanza
Naona alipo magufuri huko anatetemeka tu,hongera sana ukawa
Ubabe, dharau Kwa wapiga Kura wake nk. Hivi kweli kuwaambia wananchi wako kuwa kama wanataka lami wakanye barabarani Kisha waisambaze iwe lami kosa walichagua diwani wa chadema na matusi mengine km wananchi wa chato hawana shukrani Mala wachawi etc. Lowasa atosha.
INABID UKAPIMWE AILI WW, INAWEZA KUWA UNAKILI KAMA YA INZI, KUNA WATU WANA MISIMAMO cyo wakuyumbishwa. So tofautisha MSIMAMO na UBAGUZI akili ndogo wwWatu wa chato hawana ubaguzi kama wale wa kiskazini. Watampokea na kumskiliza. Watu hawa si wale wanabaguana hata huko kwao jijini arusha kwa kuitana Arusha Asili na Arushamoshi. Hii tabia ya watu wa chato inanipa Tumaini kuwa Magufuli atawatumikia watanzania wote bila kuwabagua.
Ha ha ha nimecheka sana. You made my day.
Uliza kilichotokea Geita mjini! Kashindwa kuhutubia!! Jamani muoneeni huruna Mzee wa watu! Anaumwa sana mwacheni apumzike!
Magufuli aliwapa za uso Jamaa zake wa Bziku eti Kama wanataka lami wanye halafu wasambaze kinyesi iwe lami.duuuuh kaziiii kwelikweli
Walienda kulishangaa lifisadi, nani asiyetaka kuliona?
Mwogope Mungu wewe eti watu hawamtaki magufuli, eti kila mtu lowassa, jipeni matumaini, hakika nakwambia lowassa atagalagazwa na magufuli mchana kweupe, el anawafaa sana nyie wanywa viroba msioweza kufikiri, tena anafaa huko huko kwenu pambafu
Kama unajiamini sana, njoo PM tufahamiane we kokoro.. Naweza kukulisha wewe na wazazi wako for the rest of your life.. Wakati unasoma Primary hapo Obey mlikuwa mnakuja pale shuleni kwetu kushangaa basketball courts na swimming pools. I'm not on your league wewe kichaa, so stay there and get a life..