Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. Siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
Sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
Haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
Wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele

kama nakuona hapo juu umewahi seat tayar sasa ufunge mkanda kabisa
 

Attachments

  • 1442485019192.jpg
    1442485019192.jpg
    40.5 KB · Views: 245
Hakukaliki Lumumba Leo. Mwanzo walidhani ni moto wa mabua ila sasa hivi moto wa mabua umeibua mtafaruku nyumba ya jirani. Kwa mujibu wa nzi wangu wanaonipa taarifa ndani ya ofisi ndogo za CCM hapa Dar habari zinadai kuwa umetokea mshtuko ndani ya viongozi kufuatia mahudhurio ya ajabu aliyoyapata Lowasa Jana pale Chato. Mategemeo ya viongozi wa CCM walitarajia Lowasa kupata aibu kubwa pale Chato. Ila hali imekuwa tofauti na matarajio. Hali hiyo imepelekea kuitishwa kwa vikao vya siri kujadili cha kufanya. Wakuu mambo kwa ujumla si shwari Lumumba na hawajui azimio lipi walifuate kuzuia moto wa Lowasa.
 
Smwatafanya nini zaidi ya kuiba kura na kuanza kuitongoza NEC??
Hakuna njia nyingine tena
 
Washazoea kufanya hujuma na kufanikiwa ila wakati huu hali ngumu
 
Hakukaliki Lumumba Leo. Mwanzo walidhani ni moto wa mabua ila sasa hivi moto wa mabua umeibua mtafaruku nyumba ya jirani. Kwa mujibu wa nzi wangu wanaonipa taarifa ndani ya ofisi ndogo za CCM hapa Dar habari zinadai kuwa umetokea mshtuko ndani ya viongozi kufuatia mahudhurio ya ajabu aliyoyapata Lowasa Jana pale Chato. Mategemeo ya viongozi wa CCM walitarajia Lowasa kupata aibu kubwa pale Chato. Ila hali imekuwa tofauti na matarajio. Hali hiyo imepelekea kuitishwa kwa vikao vya siri kujadili cha kufanya. Wakuu mambo kwa ujumla si shwari Lumumba na hawajui azimio lipi walifuate kuzuia moto wa Lowasa.

Naombea siku moja wakiwa kwenye hilo jengo la shetani liwaporomokee.
 
Hakukaliki Lumumba Leo. Mwanzo walidhani ni moto wa mabua ila sasa hivi moto wa mabua umeibua mtafaruku nyumba ya jirani. Kwa mujibu wa nzi wangu wanaonipa taarifa ndani ya ofisi ndogo za CCM hapa Dar habari zinadai kuwa umetokea mshtuko ndani ya viongozi kufuatia mahudhurio ya ajabu aliyoyapata Lowasa Jana pale Chato. Mategemeo ya viongozi wa CCM walitarajia Lowasa kupata aibu kubwa pale Chato. Ila hali imekuwa tofauti na matarajio. Hali hiyo imepelekea kuitishwa kwa vikao vya siri kujadili cha kufanya. Wakuu mambo kwa ujumla si shwari Lumumba na hawajui azimio lipi walifuate kuzuia moto wa Lowasa.



Utabiri wangu mwisho Wa siku watazipiga wenyewe kwa wenyewe
 
Hakukaliki Lumumba Leo. Mwanzo walidhani ni moto wa mabua ila sasa hivi moto wa mabua umeibua mtafaruku nyumba ya jirani. Kwa mujibu wa nzi wangu wanaonipa taarifa ndani ya ofisi ndogo za CCM hapa Dar habari zinadai kuwa umetokea mshtuko ndani ya viongozi kufuatia mahudhurio ya ajabu aliyoyapata Lowasa Jana pale Chato. Mategemeo ya viongozi wa CCM walitarajia Lowasa kupata aibu kubwa pale Chato. Ila hali imekuwa tofauti na matarajio. Hali hiyo imepelekea kuitishwa kwa vikao vya siri kujadili cha kufanya. Wakuu mambo kwa ujumla si shwari Lumumba na hawajui azimio lipi walifuate kuzuia moto wa Lowasa.


Mi nawashauri na wao wakafanye mkutano Monduli
 
Back
Top Bottom