Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Mi nawashauri na wao wakafanye mkutano Monduli
Teh teh teh teh teh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nawashauri na wao wakafanye mkutano Monduli
Huyu fisadi hana jipya atazomewa kila sehemu hafai ni fisadi tu.
Mi nawashauri na wao wakafanye mkutano Monduli
Kuna wakati huwa huruma inanijia nikifikiri mjomba wetu Makomeo alivyoachiwa jumba bovu ahahngaike nalo maana mimi mama yangu na mtu wa kanda ya zee war.
bado sijaamini kama ule ujumbe ulilokuwa kwenye bango lililoonyeshwa kule chato nyumbani kwa magufuli kuwa watumie mavi yao kupaka kama lami lilitamkwa kweli na magufuli?. Sijaamini kabisa. Kama ni kweli magufuli hafai kabisa kuwa rais wa awamu ya tano. lile ni tusi kubwa.
Magufuli anajeuri sana,wee muone hivyo. Kwanza ile Barabara ya rami ilipitishwa Kijijini kwake Lubambangwe kwa nguvu na jeuri kubwa. Haikuwa plan ya mwanzo. Ndipo wakazi wa vijiji vilivyostahili barabara kupita wakalalamika na kujibiwa hivyo.Bado sijaamini kama ule ujumbe ulilokuwa kwenye bango lililoonyeshwa kule Chato nyumbani kwa Magufuli kuwa watumie MAVI YAO KUPAKA KAMA LAMI lilitamkwa kweli na Magufuli?. Sijaamini kabisa. Kama ni kweli MAGUFULI HAFAI KABISA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO. Lile ni tusi kubwa.
Jisomee mwenyewe Magufuli ana kiburi sana na ni jeuri.Jamani mwenye hilo bango atupie litatupa kura walau kidogo
Pandisha hiyo picha ili ku support hoja yako wengi wanadhani ni uongo.Bado sijaamini kama ule ujumbe ulilokuwa kwenye bango lililoonyeshwa kule Chato nyumbani kwa Magufuli kuwa watumie MAVI YAO KUPAKA KAMA LAMI lilitamkwa kweli na Magufuli?. Sijaamini kabisa. Kama ni kweli MAGUFULI HAFAI KABISA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO. Lile ni tusi kubwa.