PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
nauliza swali ccm walisema hari mpya na kasi mpya baadae wakajana kilimo kwanza mwaka huu wamekuja nanini? plz
hapa kazi za kungoa meno tembo na kusafirisha twiga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauliza swali ccm walisema hari mpya na kasi mpya baadae wakajana kilimo kwanza mwaka huu wamekuja nanini? plz
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM
Mbona ccm wamechafua miji yetu kwa mapicha yao
Team picha hizo hapo za chato leo.
Picha hazipigi kura, jifunze
Ngumu kumeza hiyo,umeeandika matope kweli kweli.Umemaliza Kila Kitu Mkuu Asipokuelewa Anafanya Makusudi Tu. Asidhani Kuwa Wote Hapo Ni Watu Wa UKAWA Kwani Kuna Matahaira Vile Vile Wasioweza Kupiga Hata Kura Lakini Kama Haitoshi Na Kuna Wasiojiandikisha Kupiga Kura Na Kwa Kumalizia Tu Kuna Wengine Ambao Hujitokeza Kuja Tu Kuwaangalia Hao MAFISADI Na MAJIZI ( Lowassa Na Sumaye ) Ya Tanzania Yalivyo Ili Siku Ya Kupiga Kura Wawachinje Vizuri Na Wampigie Kura MZALENDO Na KIPENZI Cha Watanzania Wanaojitambua Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Siri ya hao waliopigwa na kupiga hizo picha... Kura ni siri HATA KWA CCM
Ni kwamba hawajabebwa na MAFUSO hao, wanania na mabadiliko wameenda kwa usafiri wao wenyewe.
Mikutano ya MAGUFULI kama siyo mambo haya hapa chini hawapati hata watu kumi.
Picha hazipigi kura, jifunze
Picha hazipigi kura, jifunze
Chato hii hii ya mgombea!!basi hadi dakika hii asiyeamini lowassa anachukua nchi atakuwa ni mwenda wazimu
Wangeletwa na malori si ingekuwa balaa,.....
AHSANTE WANA CHATO.
Kama mh kinana ni kipimo cha maadili"mimi ntakua malaika".....ndo huyo mkuu