Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na ule wa Geita umeufuatilia?Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
mkuu nina kausafiri kangu naenda Kagera. Nimentumia mwenzenu ataweka bila shaka.Angalia usiachwe na fuso baada ya mkutano
Chato hakuna ngome ya Magufuli ni ngome ya CHADEMA uliza uchaguzi S/Mitaa 2014 matokeo yalikuwaje?
why magufuli hajitoi kwenye kinyanganyiroHapa hakuna cha wasanii wala malori kusomba watu.....
Kawaida Wachawi Hujuana. Bora Yeye Mchawi Na Sasa Anagombea Urais Na Ndiyo Atakuwa Rais Wako UTAKE USITAKE. Sijui Wewe Na Huo Uchawi Wako Usio Na Tija Mpaka Leo Umekusaidia Nini. Utabaki Na Huo Huo UMASIKINI Wako ULIOTUKUKA Huku Ukiwa Huna Mbele Wala Nyuma.