Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli kakataliwa mpaka na mkewe,itakua watz....jiulize
Heheheh bado kiuno tu
Angeandika mtu mwingine ningetafakari kidogo lakini wewe kiazi mmalangu huna kitu.
Naangalia taarifa ya habari hapa mwanangu (kinder) ananiuliza Lowassa ameshinda? Nimemwambia ameshashinda!
Mkuu hiyo ndiyo inaitwa wera wera wera😆😆😆😆😆😆
Akienda mi natupa kadi yangu ya kupigia kura.
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
Polepole amepigwa pin na TCRA alikuwa anajiita common mwananchi lakini sasa analazimika atamke anawakilisha chama gani.
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
Punguza jabza.
CCM mmejifuta wenyewe hakuna namna.
Namshauri magufuli kabla hajaenda monduli amuulize samia mgawa takrima jinsi alivyoaibika......asijekufa bure