Magufuli kamuapisha jaji mmoja, ambaye ni Mchagga na alikuwa fair competition. Anasema jamaa alivyo muadilifu hadi alipokuwa fair competition watu walikuwa wanajiuliza "Huyu ni Mchagga gani asiyependa rushwa?"
Alisema Makonda, kuwa Mengi alikuwa ni Mchagga wa pekee, Mchaga gani anaesaidia yatima, na leo baba naye amewakilisha mawazo ya wengi, walio kuwa kumbe watu wengi hushangaa wakiona Mchagga haibi, hapokei rushwa, na anasaidia watu.
Swali, Wachagga mlifikaje hapa, kwenye jamii kuwaona namna hii?