state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
thubutu
Mkuu Wako Wachaga Wachamungu ingawa ni wachache wa kumulika kwa tochi lakini wapo.Magufuli kamuapisha jaji mmoja, ambaye ni mchagga na alikuwa fair competition,
Anasema jamaa alivyo muadilifu hadi alipokuwa Fair competition watu walikuwa wanajiuliza "Huyu ni Mchagga gani asiependa Rushwa"
Kwa hiyo Muhimili ukiwa na Magumashi yake, ukitoa maelekezo Kwa CAG naye atatii, naomba nieleweshe tafadhaliCAG kaagizwa na Amiri jeshi atii maelekezo ya mihimili mingine
Kakumbushwa anaweza kutolewa hata baada ya mwaka mmoja
Paara..Magufuli kamuapisha jaji mmoja, ambaye ni mchagga na alikuwa fair competition,
Anasema jamaa alivyo muadilifu hadi alipokuwa Fair competition watu walikuwa wanajiuliza "Huyu ni Mchagga gani asiependa Rushwa"
Alisema Makonda, kuwa Mengi alikuwa ni mchagga wa pekee, Mchaga gani anaesaidia Yatima, na leo Baba nae amewakilisha mawazo ya wengi, walio kuwa kumbe watu wengi hushangaa wakiona mchagga, haibi, hapokei rushwa, na anasaidia watu!
Swali Wachagga mlifikaje hapa, kwenye jamii kuwaona namna hii?
Kwa nini ni wakumulikwa na tochi? Ni katika stage gani huwa wanajifunza upigaji?Miuu Wako wachaga wacha Mungu ingawa ni wachache wa kumulika kwa tochi lakini wapo.
Hapo kwenye kutengua,mbona Assad alishindwa kumtengua?Rais magufuri ampa maagizo haya CAG mpya
Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili Fanya
Wewe ni mtumishi kama wengine
Pale ofisi za CAG ni pachafu sana ,kapasafishe
Una elimu nzuri una div one o level na high level wewe sio kilaza ni kipanga
Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe
Nakuonya unaweza ukaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs
Nina mamlaka ya kuteua na kutengue mm ndie rais
Asadi leo SAA Sita usiku anamaliza muda wake kesho nenda ofisini
Kaisafishe ile ofisi ,wizara ya fedha itakupa taarifa zingine
State agent
Team ujenzi wanazidi kuishika nchi, mbona tutalishwa cement karibuni!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni
Wanaoapishwa ni pamoja na;
1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (Controller and Auditor General – CAG)
2. Katarina Tengia Revocati kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe.
3. Mhandisi Aisha Amour kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kuwait.
4. Kanali Francis Ronald Mbindi kuwa Kamishna wa Kazi katika Ofisi ya Waziri Mkuu
Aidha, Mhe. Rais Magufuli anawaapisha Majaji 12 wa Mahakama Kuu
*****
View attachment 1253571
Charles Edward Kichere akiapishwa kama Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Hata yakiwa maagizo ya kupindisha ukweli?Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili Fanya
Wakisemwa Wasukuma waliojazana Hazina kwa sasa mnasema tunahubiri ukabila, kwa vile mume wenu kataja kabila msilolipenda mmetoka kama mwewe. CHENGE ni Mchaga wa Uru au Kiboroloni?Mchanga yuko radhi auwe familia mzima kisa apate pesa
MkuuMagufuli kamuapisha jaji mmoja, ambaye ni mchagga na alikuwa fair competition,
Anasema jamaa alivyo muadilifu hadi alipokuwa Fair competition watu walikuwa wanajiuliza "Huyu ni Mchagga gani asiependa Rushwa"
Alisema Makonda, kuwa Mengi alikuwa ni mchagga wa pekee, Mchaga gani anaesaidia Yatima, na leo Baba nae amewakilisha mawazo ya wengi, walio kuwa kumbe watu wengi hushangaa wakiona mchagga, haibi, hapokei rushwa, na anasaidia watu!
Swali Wachagga mlifikaje hapa, kwenye jamii kuwaona namna hii?