Kwa hiyo majimbo mlioshinda ya akina Lissu, Lema, Mnyika and the like, ulikuwa ni upuuzi tu!kuendelea kushiriki uchaguzi kwa wapinzani bila katiba mpya ni upuuzi tu
bila kusahau kata ya Vodacom*Chademma wameshinda kata Saba*
Kata ya Ukuta
Kata ya Udikteta
Kata ya Ben saa8
Kata ya Njaa
Kata ya Kata funua
Kata ya Tetemeko la kagera
Kata ya demokrasia
Cc Chakaza Daudi Mchambuzi
Ni Kama kawaida yetu ccm kushinda ninyi endeleeni na kelele za njaa, ukuta na kata funikaJamani huku Arusha tayari CCM wameshinda matevesi nasikia na ngarenanyuki pia CCM wameshinda
Aiseeee tumewapiga kama wamesimamaNi Kama kawaida yetu ccm kushinda ninyi endeleeni na kelele za njaa, ukuta na kata funika
Huwa yanajulikana mapema. Lakini chama cha siasa kushiriki Uchaguzi ni sehemu ya uenezi pia.Hayo huwa mnayajua baada ya Matokeo kutoka
Aaaaaya AsanteLembeni, Mateves,kijichi,kiwanja cha ndege,kahama na Geita CHADEMA wameshashinda hata kabla ya uchaguzi, watangazwe tu washndi hakuna namna!
Hahaha MsalitiTutaipigia cdm mpaka EL na DJ wakjiuzulu siasa kwani hawa ni walankuzi ktk siasa.
Ashuke kutoka wapi?unapajua anapoishi?imani yangu inanielekeza kuwa mungu yupo popote paleMwaka 2020 Tutamwomba Mungu ashuke mwenyewe asitume malaika.
Huwa yanajulikana mapema. Lakini chama cha siasa kushiriki Uchaguzi ni sehemu ya uenezi pia.
Uchaguzi unajulikana kuwa ni Chadema VS Dola (Polisi,DED, usalama nk) maana mshindani CCM ni kama vile hayupo au ana nguvu kama TLP tuu
Mkuu tatizo ni kuwa bado kuna watu wanajiita wapinzani kumbe ni mahawara wa Ccm kama Lipumba,Dovutwa nk.Mie nakuunga mkono Mkuu katika hoja yako. Haiwezekani kuendelea kushirikia katika chaguzi ambazo unajua fika zimegubikwa na wizi wa hali ya juu miaka nenda miaka rudi huku ukitegemea kushinda. Bila katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi hakuna umuhimu wowote ule wa kushiriki uchaguzi. MACCM hayataki nchi hii iwe na mfumo wa vyama vingi na ndiyo sababu wanafanya kila hila ikiwemo kuwanyanyasa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, kuzuia uhuru wao wa kufanya shughuli zao za kisiasa, kuwafunga jela kwa makosa uchwara n.k. viongozi na Wabunge wa UKAWA. Nitawashangaa sana viongozi wa UKAWA kama katika mazingira kama haya wakiamua kushiriki katika uchaguzi wa 2020.