Shahidi: Si kweli Kwa sababu Baada ya Kuwakabidhi Kituo cha Polisi Mbweni Hatukurudi Tena.. Na Moshi....
WS: SUBIRI KWANZA
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba Kwa Leo Niishie Hapo
Hilo ndilo mlilopangaWewe endelea kudharirisha watu badala ya kuhangaika na ushahidi- mtu wenu atafungwa kibudu
Maza kapenda fua la Tembo..madogo sasa watashinda Jim kutengezeza sick packs..nchi ina vituko hiiHii nchi hatuko serious. Mama anasifia kifua cha Harmonize huku kesi ya kubumba inapoendelea yeye anaona fresh tu. Duh!🤦🏾♂️
Akifungwa ww na familia yako huko Tunduru unafaidika nn.Wewe endelea kudharirisha watu badala ya kuhangaika na ushahidi- mtu wenu atafungwa kibudu
Ni aibu sana.Mashahidi wa mchongo🤡🤡🤡
View attachment 2020976
Hiyo aibu ndiyo italeta hukumu ya haki km hakimu atataka kutenda haki kwa Mbowe. Au unadhani yale maswali ya Kibatala Ni ya kujifurahisha.Ndo hayo hayo-sasa aibu yake inamsaidiaje Mbowe kwa mfano?
Jaji: basi Mahakama inakubiana na maombi ya upande wa mashtaka kuhairisha kesi, mashtaka mnaelekezwa kwamba ukiona ushahidi siyo mrefu walete mashahidi wawili. Na washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya magereza mpaka kesho Asubuhi saa 3 kamili
Kwa ufupi wa akili yako hapo umeielewa nini.Pamoja na hiyo aibu ya leo haya ndiyo matokeo yake
Jaji: basi Mahakama inakubiana na maombi ya upande wa mashtaka kuhairisha kesi, mashtaka mnaelekezwa kwamba ukiona ushahidi siyo mrefu walete mashahidi wawili. Na washtakiwa wataendelea kuwa rumande chini ya magereza mpaka kesho Asubuhi saa 3 kamili
Na ameona akatishe kumuongoza maana amefanya uharibifu. Kama siyo kumkatisha alitaka kuharibu zaidi, wakili kajiongezaWakili wa serikali leo hana raha maana shahidi wake wa Jamhuri anakwenda mbio kweli kweli .....
Mallya: Kwenye Maelezo Yako umesema Kwamba Mlikuwa na Askari Wengine wa Moshi ni sahihi
Shahidi: Sahihi
Mallya: Kuna Sehemu Yoyote Umepata Kueleza Kwamba Mliachana Nao wapi hao Askari Wa Moshi
Shahidi: Sikueleza
Mallya: Idadi ya Askari Mliokutana nao Moshi Unakumbuka?
Shahidi: Sikumbuki Idadi yao
Mallya: Shahidi Washtakiwa Wanasema Mlikuwa watu zaidi ya 10 mliwavamia, na Kuwawekea Madawa na Bastola
Shahidi: Si kweli, Tulikuwa watano
Mallya: Jaji ataona wapi Kwamba Mlikuwa watano
Shahidi: Kwenye Statement Hakuna
My take: kama kati ya hao askari watano hakuna aliyetokea Moshi, basi watuhumiwa walisema ukweli kwamba askari waliowateka na kuwawekea madawa ya kulevya na bastola walikuwa 10 jumla. Wao kwenye maelezo yao yote walidai ni askari 5 ndiyo walioenda kuwakamata kina Adamoo. Huyu anasema askari wa Moshi walikuwepo pia.
Kaaazi kweli kweli!
Wakili wa serikali leo hana raha maana shahidi wake wa Jamhuri anakwenda mbio kweli kweli .....
Kwa hiyo askari waliotumwa operation nzito ya kukamata magaidi wa ngazi ya makomandoo wa JWTZ walikosa gari ya majeshi yote na serikali nzima na kulazimu pair tatu za wanaume kupakatana toka Himo mpaka Dar?Gari la RPC lina seats ngapi?
4
Mlikuwaxwangapu?
7
Nani alikaa juu ya RPC
ALIKAA PEKE YAKE SISI TULIBANANA SEAT YA
Yani huu uzi una coments 30 tu?
Hivi wale wazungu bado wanaendelea kwenda mahakamani?
Shahidi leo kapuyanga!Yani huu uzi una coments 30 tu?
Hivi wale wazungu bado wanaendelea kwenda mahakamani?
YAANI KINACHOELEZWA NI UKAMATAJI TU, SASA MATENDO YA KIGAIDI NI YEPI SASA? Mara Rau, mara Aishi, Mara Mbweni....Sasa ugaidi utaelezwa lini?Sasa mbona sioni ushahidi wa ugaidi? Au mimi ndio sijui tu?
Ushahidi wa kupika mpishi kasahau kuweka chumvi, viungokama vilipuzi, picha, sauti chakula.kikakosa ladhaYAANI KINACHOELEZWA NI UKAMATAJI TU, SASA MATENDO YA KIGAIDI NI YEPI SASA? Mara Rau, mara Aishi, Mara Mbweni....Sasa ugaidi utaelezwa lini?
Hivi wewe na akili yako umeona ushahidi unaoainisha ugaidi hapo?Wewe endelea kudharirisha watu badala ya kuhangaika na ushahidi- mtu wenu atafungwa kibudu