Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Atafungwa ila siyo kwa mujibu wa sheria. Ni kwa mujibu wa policcmhao hao= mdharau mwiba mguu huota tende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafungwa ila siyo kwa mujibu wa sheria. Ni kwa mujibu wa policcmhao hao= mdharau mwiba mguu huota tende
Kesi ya msingi ya ugaidi bado haijaanza. Sasa hivi kesi inayoendelea ni ya hao magaidi kudai kuteswa, kuning'inizwa kama popo na kushindishwa njaa baada ya kutiwa mbaroni na akina Afande Kingai. Yanadai kuwa hayakutendewa haki wakati wa kuyakamata hayo makomando. Kwamba komando anapaswa kupetiwa petiwa wakati polisi anamkamata. Hii ni kwa mjibu wa PGO Kibatala anasema.Sasa mbona sioni ushahidi wa ugaidi? Au mimi ndio sijui tu?
Unaumiza kichwa bure mkuu huyu ni kichwa maji ndo wale wanasema sabaya anaonewa ??? Yaani watu woote wamchukie sabaya kwa kipi????Hivi wewe na akili yako umeona ushahidi unaoainisha ugaidi hapo?