Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe -Inspector Lugawa ISSA Maulid atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 25, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe -Inspector Lugawa ISSA Maulid atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 25, 2021

Mimi bado sielewi kitu, mbona naona kama mashahidi wa mashitaka ushahidi wao unafanana (kamata, kula, safirisha, weka ndani, andika) tofauti ni mashahidi, nini kinatafutwa maana sioni kutegwa kwa makombora, mabomu na mahandaki.

Nikiangalia ambacho mashahidi tayari wamesema, huko mbele ushahidi unaendelea kuwa dhaifu! Walianza na ukubwa wa vyeo na watu waliohusika moja kwa moja kukamata. Sasa wamekuja kwenye shahidi zilizo kwa watu ambao hawakuhusika au hawajui jambo zima. Mashahidi muhimu wameshakataa kusikia kulikuwa na njama. Wamekataa forensic investigation ilifanyika, wamekataa kuwa na ushahidi wa text au voice msgs, finger prints, lab test!! Polisi wanakataa hata kuwa na informer, wanajifanya waliwafahamu watuhumiwa wakati wa ukamataji!!

Shahidi ninayetaka kumsikia sasa ni Urio - aliyepelekea kesi kufunguliwa. Huyo labda ndio atakuwa na ushahidi wa maana!!
 
Nikiangalia ambacho mashahidi tayari wamesema, huko mbele ushahidi unaendelea kuwa dhaifu! Walianza na ukubwa wa vyeo na watu waliohusika moja kwa moja kukamata. Sasa wamekuja kwenye shahidi zilizo kwa watu ambao hawakuhusika au hawajui jambo zima. Mashahidi muhimu wameshakataa kusikia kulikuwa na njama. Wamekataa forensic investigation ilifanyika, wamekataa kuwa na ushahidi wa text au voice msgs, finger prints, lab test!! Polisi wanakataa hata kuwa na informer, wanajifanya waliwafahamu watuhumiwa wakati wa ukamataji!!

Shahidi ninayetaka kumsikia sasa ni Urio - aliyepelekea kesi kufunguliwa. Huyo labda ndio atakuwa na ushahidi wa maana!!
Denis Urio alikuwa Shahidi namba 1, huku Kingai na wengine wakifuatia, inavyoonekana Denis Urio alishagoma kutoa ushahidi wake ndio maana hakutokea mahakamani, sasa kinachofuata ushahidi pekee waliobaki nao polisi ni maelezo ya kukiri ya watuhumiwa na ndio maana ya hizi kesi ndogo.
Cha ajabu ni kwamba umkamate mtuhumiwa pasipo kuteswa na kutishiwa akiri kosa mwenyewe ni ajabu la karne.
 
Nikiangalia ambacho mashahidi tayari wamesema, huko mbele ushahidi unaendelea kuwa dhaifu! Walianza na ukubwa wa vyeo na watu waliohusika moja kwa moja kukamata. Sasa wamekuja kwenye shahidi zilizo kwa watu ambao hawakuhusika au hawajui jambo zima. Mashahidi muhimu wameshakataa kusikia kulikuwa na njama. Wamekataa forensic investigation ilifanyika, wamekataa kuwa na ushahidi wa text au voice msgs, finger prints, lab test!! Polisi wanakataa hata kuwa na informer, wanajifanya waliwafahamu watuhumiwa wakati wa ukamataji!!

Shahidi ninayetaka kumsikia sasa ni Urio - aliyepelekea kesi kufunguliwa. Huyo labda ndio atakuwa na ushahidi wa maana!!
Hebu huyu Urio tupe briefing kidogo kuhusu hii kesi.
 
Nikiangalia ambacho mashahidi tayari wamesema, huko mbele ushahidi unaendelea kuwa dhaifu! Walianza na ukubwa wa vyeo na watu waliohusika moja kwa moja kukamata. Sasa wamekuja kwenye shahidi zilizo kwa watu ambao hawakuhusika au hawajui jambo zima. Mashahidi muhimu wameshakataa kusikia kulikuwa na njama. Wamekataa forensic investigation ilifanyika, wamekataa kuwa na ushahidi wa text au voice msgs, finger prints, lab test!! Polisi wanakataa hata kuwa na informer, wanajifanya waliwafahamu watuhumiwa wakati wa ukamataji!!

Shahidi ninayetaka kumsikia sasa ni Urio - aliyepelekea kesi kufunguliwa. Huyo labda ndio atakuwa na ushahidi wa maana!!
Umesema kweli, Urio aletwe afafanue huo ugaidi ili angalao picha ya ugaidi ionekane, lakini hawa kina Kingai wanaeleza ulaji wa supu na kuharibika kwa gari, ndio ugaidi gani huo?
 
Ni zaidi ya bao la mkono.

Detention Register iliyoletwa na Shahidi wa leo imekuja kutusaidia kuthibitisha kwamba ile iliyoletwa juzi ilikuwa feki japo hata hii iliyoletwa leo kuna baadhi ya pages zimeondolewa na zingine wameunganisha ila Shahidi wao tayari keshameza ulimi.😂😂😂
 
Ni zaidi ya bao la mkono.

Detention Register iliyoletwa na Shahidi wa leo imekuja kutusaidia kuthibitisha kwamba ile iliyoletwa juzi ilikuwa feki japo hata hii iliyoletwa leo kuna baadhi ya pages zimeondolewa na zingine wameunganisha ila Shahidi wao tayari keshameza ulimi.😂😂😂
Hapa unatetea na hii ID yako. Lakini tunavyoendelea chin utakuja na zile ID zako zingine za kinu.. johnth.... Mr chop... Idugun... Kudhihaki kupinga

Usidhani hatukafaham. Tunakujua tu sana hadi kwako Bunju tunakupuuza tu. Tukiamua we can fix you up anytime.
 
Ni zaidi ya bao la mkono.

Detention Register iliyoletwa na Shahidi wa leo imekuja kutusaidia kuthibitisha kwamba ile iliyoletwa juzi ilikuwa feki japo hata hii iliyoletwa leo kuna baadhi ya pages zimeondolewa na zingine wameunganisha ila Shahidi wao tayari keshameza ulimi.😂😂😂
Hiyo imetoka wapi tena?
 
Hapa unatetea na hii ID yako. Lakini tunavyoendelea chin utakuja na zile ID zako zingine za kinu.. johnth.... Mr chop... Idugun... Kudhihaki kupinga

Usidhani hatukafaham. Tunakujua tu sana hadi kwako Bunju tunakupuuza tu. Tukiamua we can fix you up anytime.
Fool
 
Ni kwamba, wanasheria upande wa mashtaka ni lazima wawe na "burden of proof" lakini kutokana na umahiri wa mawakili wa upande wa utetezi, hoja dhaifu za kisheria zinabomolewa ile mbaya.

Shahidi wa jana na wa leo wameboronga sana. "Cross examination' imewaweka katika mazingira magumu sana. Nafikiri "examination in chief" inaonekana kama kichekesho.

Mathalani, kwa siku ya jana hata "re examination" kwa Goodluck wala haikutajika. Achilia mbali ya majibu yenye utata ya leo ya shahidi ambaye ni "Police Inspector" ambaye hana kumbukumbu zake yeye mwenyewe pamoja na mahitaji ya lazima yalipo katika PGO.
 
Back
Top Bottom