Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe -Inspector Lugawa ISSA Maulid atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 25, 2021

Sioni umahili wake Ni mmoja wamashahidi walio haribu Sana mtililiko wa upande wa watesi maana sasa amewaongezea mzigo wa kutiliwa Shaka ushahidi wao.
Mhimu Ni kuwa anapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa Sheria na sio kwa mujibu wa matakwa yake.
 
Uvumilivu umekushinda eeeh 🀣 🀣
 
Sioni umahili wake Ni mmoja wamashahidi walio haribu Sana mtililiko wa upande wa watesi maana sasa amewaongezea mzigo wa kutiliwa Shaka ushahidi wao.
Mhimu Ni kuwa anapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa Sheria na sio kwa mujibu wa matakwa yake.
Ungenisoma vizuri na kwa utulivu. Hakuna mahali nimesema shahidi huyu ni "mahiri" sana...

Tupo pamoja. Hatutofautiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…