Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Alafu Urio ni komando tena luten wa JWTZ aliyeko kazin mpaka muda huuMwaka jana nakumbuka, kuna mtuhumiwa mmoja alisema alimuona Urio akiletwa kituo cha polisi, na aliteswa kama wao.
Sasa leo, imejulikana Urio ni informer. Kumbe kile kipondo alichokuwa anapigwa Urio lilikuwa ni igizo! Du!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app