Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Huyu wa leo naye kwa sababu ya maandalizi ya haraka haraka amepewa nyaraka ambayo hata siyo ya kwake eti itumike kama kielelezo cha ushahidi wake...
Nimesoma kila mahali kwenye mada hii na kwingine, lakini sijapata jibu nililokuwa nalitafuta kuhusu jambo hili lililoibuka mahakamani leo.

Tuseme mwisho wa siku ionekane kwamba barua hii ni ya kughushi. Je, hili siyo kosa linalotakiwa kuamriwa na mahakama, na ikithibitika kuwa uhalifu upo wahusika wakaadhibiwa?

This is a very serious issue, people's rights are being denied by falsified evidence!
 
Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
Na mahakama ya CCM Iko kimyaaaa....
 
Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
Eti shahidi kaingia na nondo mahakamani, mamho ya hovyo kabisa
 
Shahidi kapata kesi kwenye ushahidi wa kesi! Tusubirie hukumu yake hiyo Jumatatu. Nikichelewa mnitag
 
Mrukeruke tu kama maharage lakini Mbowe ni Gaidi

4.-(1) Hapana mtu yeyote katika Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania nahapana raia wa Tanzania aishiye nje ya Jamhuri ya
Muungano akayeruhusiwa kufanyakitendo cha kigaidi na mtu
yeyote atakaye fanya hivyo atakuwa ametenda kosa la jinai.

(2) Mtu atatenda kosa la kigaidi ikiwa kwa nia ya ugaidi atatenda
au hatatenda kitendo ambacho-

(a) kinaweza kufanya uharibifu mkubwa kwa nchi au shirika
la kimataifa; au

(b) kimekusudiwa au kinaweza kusemekana kuwa kimekusudiwa-
(i) kutishia uma kwa kiwango kikubwa;

(ii) kuilazimisha Serikali kufanya au kutokufanya kitendo
chochote;


(iii) kudhoofisha au kuharibu kwa kiwango kikubwa misingi ya kisiasa,
kikatiba, kiuchumi au miundo ya kijamii ya nchi au shirika la
kimataifa; au


(iv) kuishawishi Serikali hiyo au shirika hilo la kimataifa; au

(c) kinahusisha au kusababisha, kulingana na mazingira-

(i) shambulio kwa maisha ya mtu ambalolinaweza kusababisha kifo;
(ii) shambuliokwa uadilifu wa mtu;
(iii) utekaji wa mtu.


Alitumikia kifungo huyu?
IMG_20211111_073016.jpg


Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom