Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma kila mahali kwenye mada hii na kwingine, lakini sijapata jibu nililokuwa nalitafuta kuhusu jambo hili lililoibuka mahakamani leo.Huyu wa leo naye kwa sababu ya maandalizi ya haraka haraka amepewa nyaraka ambayo hata siyo ya kwake eti itumike kama kielelezo cha ushahidi wake...
Na mahakama ya CCM Iko kimyaaaa....Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
Yaani Baada ya kumaliza Polisi wakahamia Mahakamaniccm wameamua kulitia aibu taifa kupitia mahakama, kuna wakati najuta kua mtanzania maana walopewa dhamana ndo wanalizalilisha taifa kupita kiasi.
sio roho ya kishetani bali ni shetani kamili.Mvaa maushingi ana roho ya kishetani!
Eti shahidi kaingia na nondo mahakamani, mamho ya hovyo kabisaNiliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
Nawashangaa sana watu wanaojibishana na huyo kichaa
unanitag ili nimuhurumie gaidi?We jamaa, hicho kichwa hakina kitu kabisa.
Cc johnthebaptist Magonjwa Mtambuka mama D YEHODAYA jingalao
Alitumikia kifungo huyu?Mrukeruke tu kama maharage lakini Mbowe ni Gaidi
4.-(1) Hapana mtu yeyote katika Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania nahapana raia wa Tanzania aishiye nje ya Jamhuri ya
Muungano akayeruhusiwa kufanyakitendo cha kigaidi na mtu
yeyote atakaye fanya hivyo atakuwa ametenda kosa la jinai.
(2) Mtu atatenda kosa la kigaidi ikiwa kwa nia ya ugaidi atatenda
au hatatenda kitendo ambacho-
(a) kinaweza kufanya uharibifu mkubwa kwa nchi au shirika
la kimataifa; au
(b) kimekusudiwa au kinaweza kusemekana kuwa kimekusudiwa-
(i) kutishia uma kwa kiwango kikubwa;
(ii) kuilazimisha Serikali kufanya au kutokufanya kitendo
chochote;
(iii) kudhoofisha au kuharibu kwa kiwango kikubwa misingi ya kisiasa,
kikatiba, kiuchumi au miundo ya kijamii ya nchi au shirika la
kimataifa; au
(iv) kuishawishi Serikali hiyo au shirika hilo la kimataifa; au
(c) kinahusisha au kusababisha, kulingana na mazingira-
(i) shambulio kwa maisha ya mtu ambalolinaweza kusababisha kifo;
(ii) shambuliokwa uadilifu wa mtu;
(iii) utekaji wa mtu.
WanakupotezaKama NI Mimi Jumatatu wananikuta mhimbili nimelazwa ili nisije yaishe.