Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaa
Hahha sawa Bwana NdugaiTafuta tafsiri sahihi ya neno SHEHK kwanza
Siwezi kua shehk ever
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahha sawa Bwana NdugaiTafuta tafsiri sahihi ya neno SHEHK kwanza
Siwezi kua shehk ever
Tetetehehehe!Wengi wamekimbia kwa aibu na hutowaona tena humu jf wakisema Mbowe Gaidi .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tetetehehehe!
Toka nimeanza kufuatilia hii kesi ya kihistoria,sijawaona, mkongwe P.Mayalla,kipara kipya,bia yetu nayo sijui imeisha kwenye chupa!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ili upime hoja za huyo jamaa.u
unanitag ili nimuhurumie gaidi?
Hahaha ... anadesa au siyo.Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
Alaaa kumbeInasemekana aligoma , baadaye wakamlazimisha vinginevyo angetekwa , na yeye akawapa masharti wampe nondo , ndio ile diary sasa .
Aibu naona mimi yaani !
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kanikumbusha chuo siku ya EU Inveterator kamshtukia jamaa ana kidesa, akamfuata akamuuliza hicho nn, jamaa atamwoneshea kidole kwenye ceiling board ile Ticha kapeleka tu macho kwenye paa aangalie anachooneshwa, jamaa akatupia ile karatasi mdomoni. Jamaa akaulizwa ile kararasi iko wapi akajibu kwa confidence kuwa hajawahi kuwa na karatasi.kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha.
Wewe ni pimbi!Wewe nawe ni kasuku
1. ni makosa kuwa na diary hasa kwa polisi
2. je alipokuwa kizimbani alikuwa akitoa ushahidi kutoka kwenye diary na hiyo simu
3. je upo utaratibu wa kuwapekuwa mashahidi kabla ya kuingia kwenye kizimba cha kutolea ushahidi
Mtumie akili kidogo
nitajie sheria inayokataza?Wewe ni pimbi!
Kama siyo makosa kuwa na diary kwanini ilichukuliwa na ipo mahakamani?
Habari ndio hiyoDah mbona hatari hii [emoji3][emoji3]
Usikufuru mzee jivunie ili upate ujasiri wa kuleta mabadiliko nchini kwakoqccm wameamua kulitia aibu taifa kupitia mahakama, kuna wakati najuta kua mtanzania maana walopewa dhamana ndo wanalizalilisha taifa kupita kiasi.
Jumatatu utaiona hiyo sherianitajie sheria inayokataza?
iko mahakamni sawa tusubiri mawasilisho ya pande zote na uamuzi wa mahakama
Hii kesi imefunguliwa na shetani na mashahidi ni watoto wa mashetani, Mungu ni wa ajabu sana iko siku wao na vizazi vyao dhambi hii itawatafuna hadi jehenam.Niliyaongea mapema Ile kuwa shahidi ANAONGEA Kama KAKARIRISHWA,kumbe alikuwa na dayari amejaza nondo za kutosha. Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa .NILISEMA Ile mapema mwisho WA ubaya NI fedheheko.
We utapata faida gani huyo mbowe akifungwa kwa hila ?we kalia hayo hayo- lakini mtu wenu haponi yuko Kibra
Naona unazunguka na hii hoja kwenye kila Uzi so barbarianYesu alitetewa na watu wachache sana kwenye mateso yake kuliko yule mwizi.
kwa wingi wenu mnavyo mtetea mbowe- atakuwa Giadi tu
umeongea point sana,kwa mimi hata undugu unaishia hapo. Unaweza kumuamini kwa lipi huyu.Msemwa ,,hivi wanao Ndugu na marafiki wakiona unatoa vitu mahakamani si watakutharau?? Ona sasa
It is a reflection that CCM are a nation disaster!Dah mbona hatari hii [emoji3][emoji3]