Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Kuna jamaa hapo pichani tumesoma naye chuo na alikuwa Ana feli Sana Ni mbishi Sana na kweli alikuwa mwanasiasa kutwa kuiponda ccm..kweli asee mpk kwenye kesi ameenda Basi anaipenda cdm toka moyoni nimeamini Leo
mwenye ndevu nn au
 
Huyu ni kiongozi wa chama anaetambulika,je sisi ohehahe itakuwaje?katiba ni muhimu kwa nchi hii ,Waachane na mambo ya kupaka rangi nchi
 
Huyu ni kiongozi wa chama anaetambulika,je sisi ohehahe itakuwaje?katiba ni muhimu kwa nchi hii ,Waachane na mambo ya kupaka rangi nchi
Jana ungeshushwa na magereza na kuaga familia ukiwa kizimbani.
 
mutajua hamujui!
 
huyo shaidi ni mtu wa matukio ya yenye utata .
1.kambambikiza muzee wa watu pembe za ndovu
2.kambambikiza jamaa bastola
3.kasimamishwa kazi lakini bado anaendelea na kazi
4.kaiba nyaraka ya mahakama kaileta mahakamani
 
Hii kesi inavutia sana jinsi mawakili wanavyochuana, najilaumu babangu kunipeleka sayansi..nafikiri ningefiti sana hapa kwa sheria maana mimi ni king of logic.

If..then.. end if...zimelala.
Hiyo logic kwa sababu ulisoma sayansi
 
Hii kesi inavutia sana jinsi mawakili wanavyochuana, najilaumu babangu kunipeleka sayansi..nafikiri ningefiti sana hapa kwa sheria maana mimi ni king of logic.

If..then.. end if...zimelala.
Labda King of kulala Lodge
 
Akaona haitoshi akaamu awe ana Google maswali na Simu kabisa😀😀😀
Umaskini mbaya sana aiseee
Inawezekana aliagizwa akasome vitabu Fulani ndiyo maswali yanatoka huko. Hapo ndio unafuata ule mwendo wa kwenda dukani unaimba sukari kilo moja, sukari kilo moja, sukari kilo moja. Mpaka kufika dukani. Kufika dukani anauliza mangi nipe kile kitu kinachofanana na chumvi. Mangi anampimia kilo tatu ya chumvi.

Mawakili wa utetezi ni kuboko. Kumbukumbu zote poteza.
 
Wanaume tena watu wa wazima na Wasomi wanafanya mambo ya aibu na kuhuzunisha sana.

Hakuna siku nimeshangaa kama yule Mama muuza mbege alivyong'angania kuita Bunduki namba zake kila alipohojiwa.

Sema kina Kibatala ni wastaarabu sana yule angepekuliwa mwili mzima.
 
Inasemekana aligoma , baadaye wakamlazimisha vinginevyo angetekwa , na yeye akawapa masharti wampe nondo , ndio ile diary sasa .

Aibu naona mimi yaani !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ndio maana alipo TOA vitu vyake alisikitika na kutingisha kichwa. Haya tungoje kesho tutakapo badilishiwa dairy nakuambiwa ndio hii kumbe wameificha. Chezea watu za vitu vya mahakama wewe.
 
JAMANI HEBU TUCHUE KIRAHISI KABISA. KAMA KWELI MBOWE ANGEKUWA GAIDI ! MBONA WANATUMIA NGUVU KUBWA SANA KUTAFUTA NAMNA YA KUNTIA HATIANI? NAMSHANGAA JAJI MPAKA LEO HAJACHUKUA MAAMUZI. AU NAYE KANOGEWA NA TAMTHILIA HII? KAMA NASI TULIVYO NOGEWA? YAANI JAJI AKIPITIA KESI YA KINA KARUGAKINGIRA NA WENZAKE ,ANGEKUWA KASHAMALIZA KESI. ILA WACHA KUKUCHE TUONE NANI KAKOJOA KITANDANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…