ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna jamaa hapo pichani tumesoma naye chuo na alikuwa Ana feli Sana Ni mbishi Sana na kweli alikuwa mwanasiasa kutwa kuiponda ccm..kweli asee mpk kwenye kesi ameenda Basi anaipenda cdm toka moyoni nimeamini Leo
Labda wameshauriwa na Jaji ambae nae anaonekana kuwa wakili wa serikali.Salaam Wakuu,
Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani...
Kuna ujinga ambao watu hufikiria k uwa kanzu ni vazi la Kiislamu. Kanzu ni vazi la utamaduni wa mashariki ya kati, haijalishi atakayelivaa ni mpagani au dini nyingine, ni vazi la mashariki ya kati.
Lazima wapinge kwa sababu kama wataachà uamuzi wa Jana usimame [na lazima usimame kwa sababu sheria imekiukwa na hakuna excuse katika hilo], madhara yake ni;Salaam Wakuu,
Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
Mawakili wa Jamhuri walishafika mapema, waliomba dakika 10, wakapewa, zimefika 30. Wao wanataka kupinga uamuzi mdogo wa jana kuhusu kielelezo chao cha D.R (detention register) kukataliwa.
Picha: Watu mbalimbali waliohudhuria kesi Mahakama Kuu leo 12/11/2021
Salaam Kamanda nakusalimu tu, kiongozi.Nipo kabisa , tuendelee kuwepo hapa hapa ili tuone wapi panavuja
Asilimia kubwa ya wafanyakazi wa serikali wanafanya kazi kimazoea hawapend kushughulisha bongo zao, wao wakishaajiriwa kila kitu kinaishia hapo hakuna kuumiza kichwa tofauti na wengineSijui hawa Mawakili wa serikali uwa hawasomi kesi ama wanajua ipo folk lift ya kuwabeba Jaji. Hii kesi master plan ni Kingai na Boaz. Nashauri wote wenye nia njema waanze kufunga na kusali juu ya uonevu wa Kingai sijui anafaidika na nini na hii dhuluma aliyoifanya.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
we barabaAsulubiwee asulubiwee..
ERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?Salaam Wakuu,
Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
Mawakili wa Jamhuri walishafika mapema, waliomba dakika 10, wakapewa, zimefika 30. Wao wanataka kupinga uamuzi mdogo wa jana kuhusu kielelezo chao cha D.R (detention register) kukataliwa.
Picha: Watu mbalimbali waliohudhuria kesi Mahakama Kuu leo 12/11/2021
ACHA HASIRA UNAHARIBU HOJA HUJIBIWA KWA HOJAMwizi aliiba mbunye ya mama yako?
furaha itaisha muda si mrefu vumilia tu
Kama ilivyotokea kwa Nelson Mandela. AmenAliyesubiwa na wayahudi baadae alifufuka na kisha kujulikana kuwa ni mkombozi wa ulimwengu.
Mbegu ikipandwa ni lazima Ife ndipo iote.
Ndivyo ilivyo kwa mbowe,sasa ivi mnamsulubu kama haitoshi yeye ni mbegu ya ukombozi wa pili wa nchi hii kutoka kwa mkoloni ccm.
ATAOTA KWA USHUJAA
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kama shahidi wa leo amegoma kuingia mahakamani si wamwite mwingine? Jamuhuri si ina zaidi ya mashahidi 20 jamani?furaha itaisha muda si mrefu vumilia tu
Noma kweli !Salaam Kamanda nakusalimu tu, kiongozi.
Naambiwa kutoka mahakamani , wenye ushahidi ulioshiba, Al-Maarufu wasiojulikana, wamemteka JAJI , kwa maamuzi yake ya Jana,
JaJi aonekani kizimbani na wasiojulikana wameteka mahakama. wanatamba tu hapo , nje hawapo ndani hawapo.