Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Wameingia mitini

Screenshot_20211112-120211.png
 
Salaam Wakuu,


Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.

Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.

FD-q4B6XwB0d7Ul

Picha: Watu mbalimbali waliohudhuria kesi Mahakama Kuu leo 12/11/2021
Mawakili wa Jamhuri walishafika mapema, waliomba dakika 10, wakapewa, zimefika 30. Wao wanataka kupinga uamuzi mdogo wa jana kuhusu kielelezo chao cha D.R (detention register) kukataliwa.
Lazima wapinge kwa sababu kama wataachà uamuzi wa Jana usimame [na lazima usimame kwa sababu sheria imekiukwa na hakuna excuse katika hilo], madhara yake ni;

1. Kuipa image mbaya mahakama kuwa inashirikiana na upande Wa mashitaka kukandamiza au kujaribu kunyima haki watuhumiwa...!!

## Kwa uamuzi wa jana wa hakimu, mahakama haiwezi kuukwepa uchafu huu ambayo kwa 100% maafisa wa mahakama wameshiriki

2. Inaweza kuathiri kesi yote na hivyo upande wa mashitaka kupoteza game yote...!!

## Hofu ya Jamhuri iko hapo na sijui wataupinduaje huo uamuzi Wa Jana Wa Jaji...
 
Nipo kabisa , tuendelee kuwepo hapa hapa ili tuone wapi panavuja
Salaam Kamanda nakusalimu tu, kiongozi.
Naambiwa kutoka mahakamani , wenye ushahidi ulioshiba, Al-Maarufu wasiojulikana, wamemteka JAJI , kwa maamuzi yake ya Jana,
JaJi aonekani kizimbani na wasiojulikana wameteka mahakama. wanatamba tu hapo , nje hawapo ndani hawapo.
 
Sijui hawa Mawakili wa serikali uwa hawasomi kesi ama wanajua ipo folk lift ya kuwabeba Jaji. Hii kesi master plan ni Kingai na Boaz. Nashauri wote wenye nia njema waanze kufunga na kusali juu ya uonevu wa Kingai sijui anafaidika na nini na hii dhuluma aliyoifanya.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Asilimia kubwa ya wafanyakazi wa serikali wanafanya kazi kimazoea hawapend kushughulisha bongo zao, wao wakishaajiriwa kila kitu kinaishia hapo hakuna kuumiza kichwa tofauti na wengine
 
Wale tuliambiwa na makamanda ni mabalozi wako wapi?
Au baada ya kujua mbivu na mbichi wameamua kila mtu abebe mzigo wake.
 
Salaam Wakuu,


Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.

Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.

FD-q4B6XwB0d7Ul

Picha: Watu mbalimbali waliohudhuria kesi Mahakama Kuu leo 12/11/2021
Mawakili wa Jamhuri walishafika mapema, waliomba dakika 10, wakapewa, zimefika 30. Wao wanataka kupinga uamuzi mdogo wa jana kuhusu kielelezo chao cha D.R (detention register) kukataliwa.
ERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
 
Aliyesubiwa na wayahudi baadae alifufuka na kisha kujulikana kuwa ni mkombozi wa ulimwengu.

Mbegu ikipandwa ni lazima Ife ndipo iote.
Ndivyo ilivyo kwa mbowe,sasa ivi mnamsulubu kama haitoshi yeye ni mbegu ya ukombozi wa pili wa nchi hii kutoka kwa mkoloni ccm.
ATAOTA KWA USHUJAA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kama ilivyotokea kwa Nelson Mandela. Amen
 
Salaam Kamanda nakusalimu tu, kiongozi.
Naambiwa kutoka mahakamani , wenye ushahidi ulioshiba, Al-Maarufu wasiojulikana, wamemteka JAJI , kwa maamuzi yake ya Jana,
JaJi aonekani kizimbani na wasiojulikana wameteka mahakama. wanatamba tu hapo , nje hawapo ndani hawapo.
Noma kweli !
 
Back
Top Bottom