kwani unahoja ya kuongea nawanaumeweweZaidi ya hapo ungesema nini wakati akili imeishia kwenye ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani unahoja ya kuongea nawanaumeweweZaidi ya hapo ungesema nini wakati akili imeishia kwenye ujinga
Taja majina yake na yako tupime kama kweli mlisoma pamoja, otherwise, Acha uongo!Kuna jamaa hapo pichani tumesoma naye chuo na alikuwa Ana feli Sana Ni mbishi Sana na kweli alikuwa mwanasiasa kutwa kuiponda ccm..kweli asee mpk kwenye kesi ameenda Basi anaipenda cdm toka moyoni nimeamini Leo
Mbona shahidi Kama karirishwa. Ndio maana wakiuliwa maswali hawategemei maswali magumu maana wamekaririshwa. Home Boy wangu kuwa mkweli. Hawajamaa hawajaletwa hapo central ...au umeahidiwa cheo? Ila mwisho WA uongo NI ubaya. Makinika. Tambua kuwa unajijengea uadui mkubwa Sana ..Leo Una nguvu he kesho yako waijua?Salaam Wakuu,
Leo tarehe 12/11/2021 anatarajiwa kusikilizwa shahidi mwingine katika muendelezo wa kesi Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
Mawakili wa Jamhuri walishafika mapema, waliomba dakika 10, wakapewa, zimefika 30. Wao wanataka kupinga uamuzi mdogo wa jana kuhusu kielelezo chao cha D.R (detention register) kukataliwa.![]()
Picha: Watu mbalimbali waliohudhuria kesi Mahakama Kuu leo 12/11/2021
======
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa
Wakili wa Serikali, Robert Kidando: anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali
Jenitreza Kitali
Abdallah Chavula
Pius Hilla Esther
Martin Tulimanywa
Majige Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala: anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi
Jeremiah Mtobesya
Paul Kaunda Fredrick
Kihwelo Dickson
Matata Idd Msawanga
John Mallya
Nashon Nkungu
Alex Massaba
Khadija Aron
Evaresta Kisanga
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja tupo tayari Kuendelea Wakili
Peter Kibatala: Nasisi tupo tayari Kuendelea
Jaji: Shahidi Wenu..?
Wakili wa Serikali: Robert Kidando Yupo amefuatwa
Jaji: Majina yako
Shahidi: anaitwa Askari namba H4323 Msemwa
Jaji: Miaka
Shahidi: 31
Jaji: Dini Yako
Shahidi: Mkrito
Shahidi: Mimi Askari namba H4323 D/ C Msemwa Naapa Kwamba yote nitakayo Sema ni ya Kweli
Wakili wa Serikali: Umesema Unaitwa Nani
Shahidi: naitwa Askari namba H4323 Msemwa
Wakili wa Serikali: Kazi yako nini
Shahidi: Askari Polisi
Wakili wa Serikali: Kituo cha kazi Upo wapi
Shahidi: Nipo Oysterbay
Wakili wa Serikali: Kabla ya Hapo ulikuwa wapi
Shahidi: Kituo cha Polisi Msimbazi na Baadae Kituo cha Polisi Central
Wakili wa Serikali: Central ya wapi
Shahidi: Central Ya Dar es Salaam
Shahidi: Anaweza Kuletwa na Mtu yoyote hata Kama wananchi au Maaskari watakao Kuwa Wamemkamata
Wakili Wa Serikali: Mtuhumiwa anapoletwa Je ni Vitu gani hufanyika
Shahidi: Kumpekua Mashtaka, Kwanza ni Kuona Kama ana viambatanisho Vya Reference namba Na siyo Mtuhumiwa lazima. Awe amefunguliwa kesi, Unaweza Kumfikisha Mtuhumiwa akafunguliwa Kesi pale pale WS: Mtuhumiwa ambaye Kesi imeshafunguliwa analetwa na nani
Wakili wa Serikali: Chumba cha Mashitaka Maana yake nini
Shahidi: Chumba Cha Mapokezi, Tunaita CRO pale ambapo Mteja anapokelewa
Wakili wa Serikali: Wateja wa aina gani wanaopokelewa
Shahidi: Wanakuja Kufungua Kesi na Watuhumiwa wote hao ni Wateja Kwa Polisi
Wakili wa Serikali: Majukumu yanayohusiana na Mashitaka (CRO)
Shahidi: Kufungua Kesi, Kupokea Watuhumiwa na Kutoa Au Kupokea Huduma Mbalimbali zinazohitaji Huduma za Kipolisi
Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama sasa CRO inahusika Kupokea Watuhumiwa, Je Utaratibu Wa Kupokea Watuhumiwa Ukoje
Shahidi: Pindi Mtuhumiwa amepokelewa Polisi Pale Chumba Cha
Wakili wa Serikali: Tofauti na Mtuhumiwa Kueleza Mwenyewe, Je Taratibu Zingine ni zipi
Shahidi: Ukiondoa hiyo ya Yeye Kusema, Kama Mtu ni Kibaka wakati Unampekua unaweza Kuona Majeraha
Jaji: Kibaka ni Mtu gani
Shahidi: Mtu ambaye ameletwa baada ya Kupigiwa na Wananchi
Wakili wa Serikali: Hali ya Ki Afya ya Mtuhumiwa hapo Chumba Cha Mashtaka hutokea Vipi
Shahidi: Uelezwa na Yeye Mwenyewe wakati tunaandika Taarifa zake kama Nzuri tunaandika "Good" Kumaanisha Mzima na Kama ni Magonjwa tunaandila "Sick" Kumaanisha Mgonjwa.
Wakili wa Serikali: Kama Mlikuwa wengi tutajie hao wengi ni akina nani
Shahidi: Assistant Inspector Fatuma, PC Emanuel, PC Semeni na Constable Samweli
Wakili wa Serikali: Kazi yako Siku hiyo ilikuwa nini
Shahidi: Nilipangiwa Charge Room
Wakili wa Serikali: Ambapo kazi yake ni nini
Wakili wa Serikali: Zamu ya namna gani
Shahidi: Zamu ya Masaa 12, Kwa hiyo Robo saa Kabla Natakiwa Kuwa kazini
Wakili wa Serikali: Ukiwa Kama Askari za wa zamu, Siku hiyo Majukumu yako yalikuwa yapi
Shahidi: Tulikuwa Wengi na incharge anagawa Majukumu
Wakili wa Serikali: Kwani Dhumuni la Kuangalia Afya ni nini
Shahidi: Ni sababu ya Kutaka Kujua Kama hali ya Mtuhumiwa ni nzuri
Wakili wa Serikali: Endapo Mkaona hali yake Ki Afya siyo Nzuri Mnafanyeje
Shahidi: Tunajaza KWENYE Fomu ya PF3 na Tunampeleka Hospitali, Wale wenye Malaria tunawapeleka Hospitali na Bado Wakirudi tunajaza Mgonjwa
Wakili wa Serikali: Eleza Mahakama tukufu Kwamba 07 August 2020 ulikuwa wapi
Shahidi: Mnamo tarehe 07 August 2020 Alfajiri nilikuwa naingia Kazini, Central Dar es Salaam Kama Askari Wa Zamu Chumba Cha Mashtaka. Ni kafanya Utaratibu Wa Kawaida Upekuzi Kuwa andika Kwenye Detention Register
Wakili wa serikali: Baada ya kuwa Detain Ukafanya nini
Shahidi: Kuwachukua watuhumiwa na Kuwapeleka Mahabusu
Wakili wa Serikali: Mahabusu ya wapi
Shahidi: Ya Central palepale
Shahidi: Walifika Central Ilala Eneo la CRO wakiwa na Watuhumiwa na Moja kwa Moja Baada ya Kufika Afande Jumanne akauliza pale, Nani anahusika na Watuhumiwa Nikamwambia Mimi hapo, Akasema Hawa watuhumiwa Wamekamatwa Moshi na Reference Namba zao hizi hapa
Shahidi: Kuingiza na Kuwatoa Watuhumiwa Chumba cha Mahabusu
Wakili wa Serikali: Unakumbuka Siku hiyo ilikuwaje
Shahidi: Alifika Afande Kingai, Afande Jumanne Na Askari Wengine Wakiwa wameshikilia Bunduki Wakiwa Pamoja na Watuhumiwa Wawili
Wakili wa Serikali: Afande Kingai na Afande Jumanne ni akina nani hasa
Shahidi: Afande Kingai Kwa sasa ni RPC..
Wakili wa Serikali: Kipindi Hicho alichofika
Shahidi: Afande Kingai alikuwa RCO Arusha na Afande Jumanne alikuwa anatokea Polisi Makao Makuu, Ndiyo nilikuwa nafahamu hivyo
Wakili wa Serikali: Walifikia Eneo gani
Wakili wa Serikali: ikawaje
Shahidi: Afande Kingai alirudi Kumchukua Mtuhumiwa
Wakili wa Serikali: Mtuhumiwa Yupi
Shahidi: Adam Hassan Kasekwa
Wakili wa Serikali: Umesema Kwa Mujibu Wa Reference Ulizoluwa Umeletewa Hawa watu walikuwa na kosa Gani
Shahidi: akula Njama za Kufanya Vitendo Vya Kigaidi
Wakili wa Serikali Watuhumiwa Walioletwa ni akina nani
Shahidi: Walikuwa ni Watuhumiwa Wawili wa kiume
Wakili wa SerikaliJe Kuwatambua Kwa Majina
Shahidi: Mohamed Abdilah Ling'wenya na Adam Hassan Kasekwa
Wakili wa Serikali: Kingai na wenzake baada ya Kuwapeleka Mahabusu wote walikwenda wapi
Shahidi: Baada ya Kuwapeleka Mahabusu Watuhumiwa Wote na Kuwajaza Majina yao, Umri wao, Afya zao na Kosa wanalotuhumiwa nalo Baada ya Hapo nikawapeleka Mahabusu, Wao wakina Kingai Wakaondoka
Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama Kwamba Baada ya Kuwa wamerejeshwa Mahabusu, lini tena ulishughulika nao Shahidi: Mimi Ndiyo nilikuwa Mtunza Mahabusu, Niligawanya Muda wa kuwatembelea. Muda wa Asubuhi Wakatikuwapelekea Uji kwa Watuhumiwa Wote na Kushusha Chai za Ndugu wengine
Kamanda unajua lakini mwenye avatar yake kaolewa na ubeche tumekulaNipo kabisa , tuendelee kuwepo hapa hapa ili tuone wapi panavuja
Jibu safiMwizi aliiba mbunye ya mama yako?
HIVI huwa unaona raha gani kutetea UOZO kila kukicha? Mwenzio Ndugai ameshahamaki kwa bunge lake kuitwa dhaifu.UNAWEZAJE KUSHINDANA NA MWENYE NYUMBA UKIOLEWA LAZIMA UTOE SASA WEWE UNALETA UJANJAHAPA MUMEO ANAKUITA IMESHASIMAMA HUKO KAINAME
Wazungu wana akili kubwa sana. Walikuwa wanataka kusikia ushaidi muhimu wa shaidi wa kwanza kwani kiini cha kesi yote kinapatikana kwa shaidi wa kwanzaERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
Maaama ako anajua walipoERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
Kwasababu wameshaona hapo hakuna kesi. Wanasubilia hukumu tu, kama itakuwa ya haki watatulia na kama haitakuwa ya haki wafanye mambo yaoWale tuliambiwa na makamanda ni mabalozi wako wapi?
Au baada ya kujua mbivu na mbichi wameamua kila mtu abebe mzigo wake.
Am3mgaidi mama yako?Haiwezi kufutwa nyie subrini tu nyundo za mvua 30 kwa gaidi mbowe
Wako wapi AKINA Makinda.na wengineo...umwite MWENYE nyumba, anaanyaanya Tu Bungeni .kujimwambafai..Mnakinishe asijisahau KILA MTU. Atapita watakuja na wataviacha wengine WAJE. Yuko wapi aliyetuanzishia upoteaji watu? Yuko wapi Mzee WA ruksa..Yuko wapi Swahiba yangu Mhenga mwenzangu WA Msoga. Naye Ndungai atapita.. awe MAKINI asije olewa akitoka kwenye kiti hicho.HIVI huwa unaona raha gani kutetea UOZO kila kukicha? Mwenzio Ndugai ameshahamaki kwa bunge lake kuitwa dhaifu.
Mavi Kama haya you just block them. Mimi takataka Kama hizi nimeblockNimekudharau rasmi,comment zako kwenye huu uzi ni kipimo cha akili yako!Ni hayo tu!
NafahamuKamanda unajua lakini mwenye avatar yake kaolewa na ubeche tumekula
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app