Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sijui nini kitafuata ila shahidi kakutwa na simu, diary karatasi na peni na vimechukuliwa, kwa sasa tunasikiliza nini hatma ya hiyo pingamizi.Jee hii maana yake nini? Ushahidi wake utafutwa naye kuondolewa au vipi?
aibu gani akati mwenyewe alitoa hukumu BBCAibu kwa bibi Samia,tunamwambia hasikii
Katiba mpya ni lazima na ni sasa.Kibatala: MHESHIMIWA JAJI tunaomba Tujirizishe kama Shahidi hana Diary na Kama Kwenye Diary anaandika Chochote.. Na Pia kama Shahidi ana simu pale kizimbani.... Na Kama ameingia na Vitu Visivyoruhusiwa kizimbani tunaomba aondolewe kuwa Shahidi..
Kibatala: Zitoke pande mbili za Mawakili Chini ya Mahakama tukamkague Kwanza Kabla Kesi haijaendelea...
Shahidi: ANAONYESHA DIARY, PENI, KARATASI NA SIMU JUUUUUU kabla hajakaguliwa...
Kibatala: Tunaomba vitu hivyo viwe chini ya uangalizi wa mahakama kabla hatujaendelea na kesi
Afisa wa Mahakama anaenda Kizimbani Kuchukua DIARY, PENI na SIMU kutoka kwa shahidi wa Jamhuri.. Shahidi anatikisa kichwa kama ishara ya kusikitika...
Vipi vifungu vya Sheria vinasemaje?ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Sasa kwanini order ilipotoka alichukuliwa vitu kama ni sahihi ?ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
mawakili wa utetezi wanakosa cha kuzungumza wanakosa hoja za msingi mpaka wanaona vitu kama diary na peni vinamsaidiamshahidi kutoa maelezo? inamaana simu anaweza kuitumia hapokupata majibu kweli? hapo hakuna mawakili wa utetezi ni njaa tu zinawasumbuaHuku mwenendo wa kesi ukiwa unaendelea kwenye kesi ya uhujumu uchumi insyomkabili Freemani Mbowe na wenzake Shahidi wa upande wa mashitaka afande Msemwa amekutwa na Simu, dairy akiwa kizimbani.
Wakili wa utetezi Kibatala ameinia hoja hiyo mbele jaji leo
View attachment 2007987
View attachment 2007988
View attachment 2007989
Hii kesi jamuhuri inatamani itemane nayo ila inashindwa itaitema vipi[emoji1][emoji1]Kisheria shahidi hatakiwi kuwa na materials yoyote pindi anapokuwa kizimbani kutoa ushahidi. Ila huyu wa leo Detective Constable Msemwa amekutwa na diary, pen na simu. Hii imeleta idea kwamba majibu yote aliyokuwa anaongozwa kuyatoa, ni kama alikuwa anayasoma.
Vitu vyote hivyo vimewekwa pendings, then baadae vitakaguliwa kuona endapo kuna details zinahusiana na hii kesi, then maamuzi yatafanyika.
My take:
Shahidi alipo ni mbele ya benchi la mawakili wa upande wa Jamhuri, how come wameshindwa kuliona ili kosa? Hata kama hapatakutwa na chochote kwenye hiyo diary cha kuathiri kesi, ila najiuliza hawa mawakili wa upande wa serikali, umakini wao upoje??
nyie akili mmeziweka rehani hatutaki ugaidi MBOWE NI GAIDIHivi uko timamu kiakili au unaandika tuu ilimradi uandike?
Ukiingia kwenye mijadala ya watu timamu andika kwa kufikiri kwanza, maana waweza kuwa na hoja basi iweke vizuri sio kama mtu aliyekamatia mpini.
Ingekuwa sio kosa, basi visingezuiliwa na mahakama.ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Kibatala: Na sisi Kwa niaba ya Mshtakiwa wa Nne tunapinga Kwa Nguvu 1. Shahidi siyo Competence, na Competence Inagawanyika MAKUNDI Mawili (a) In ISOLATION Kwamba haja' lay Foundations Kwamba inamuhusu, Kama Mimi Ningekuwa Ndiyo Wakili wa Serikali, Kwa kuwa Shahidi alidai Kwamba. Alisainishwa Mahala fulani, ilikuonyesha NEXUS kati ya Ofisi ya Msajili na Shahidi, Kwamba Barua Isingemfikia Kwa kuelea Hewani, Wameweka toroli Mbele ya Farasi na Hiyo Ndiyo inaondoa Competence ya Shahidi ambayo pia ni R Prequisite ya Tendering.
Wewe naona hujafikia hata kiwango cha kuitwa bush lawyer.ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Shahidi kaingia na Winch ya January!
KIBATALA: Hatari ambayo Tusingependa Kufika huko, Ni Naibu Msajili N.N Ntandu Kuja kuwa Shahidi Kwenye kesi hii, Mahakama itahusishwa Kuja Kuziba Gap Fulani aje Kuulizwa Ulimkabidhi Shahidi Kwa Madhumuni Gani wakati Shahidi Siyo Muhusika.
Kibatala: Sijasikia Shahidi akisema Kwamba Barua hii ni Nakala Kwake na Kwa Mamlaka yapi.. Lakini Pia Barua Kama ambayo Ina Purport Kupokea Exhibit Kwenye Mahakama, Ilitakiwa iwe preceded na Law, It's Jurisdiction Issue..
kesi hii wengi mnaojadili hamjui kabisa procedure za mahakamani, na huwa ni ngumu sana kuwaelewesha. subiriini kesi ifike mwisho mtapata jibu. yaani kitu very trivial utakuta mnashikilia bango as if ndio kinachoamua kesi yote. hayo ni mambo ya kawaida mahakamani, pale ni vita vita mura, ila mwisho anayeshinda ndio ananyanyua bango.Ingekuwa sio kosa, basi visingezuiliwa na mahakama.
Muda huu bado wanajadiliana issue nyingine, after that ndio hivyo vifaa vitakaguliwa. Nasubiria kwa hamu huo ukaguzi.
Right now, acha niconcentrate kusikiliza. Ni raha kuhudhuria hapa mahakamani.