Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Kibatala: MHESHIMIWA JAJI tunaomba Tujirizishe kama Shahidi hana Diary na Kama Kwenye Diary anaandika Chochote.. Na Pia kama Shahidi ana simu pale kizimbani.... Na Kama ameingia na Vitu Visivyoruhusiwa kizimbani tunaomba aondolewe kuwa Shahidi..

Kibatala: Zitoke pande mbili za Mawakili Chini ya Mahakama tukamkague Kwanza Kabla Kesi haijaendelea...

Shahidi: ANAONYESHA DIARY, PENI, KARATASI NA SIMU JUUUUUU kabla hajakaguliwa...

Kibatala: Tunaomba vitu hivyo viwe chini ya uangalizi wa mahakama kabla hatujaendelea na kesi
madesa... ha ha ha ha ha scripts ni ngumu kukariri jamani.
 
Serikali ya CCM inajihusisha pia na kubumba ushahidi mahakamani katika kesi zao za kubumba dhidi ya Raia wema.
Hivi hata mdhikiri uchi nchi haiwezi kufanikiwa kwa chochote kile.
Ndio maana hata baada ya Majaliwa kutembelea mazoezi ya Taifa stars tumeambulia kipigo cha 0-3.
Balaa tupu, mpira tucheze sisi Masoli tulambwe sisi.
Serikali iache mambo ya nuksi
mbowe ndiyo anatia nchi hii nuksi na UGAIDI WAKE
 
Kibatala: MHESHIMIWA JAJI tunaomba Tujirizishe kama Shahidi hana Diary na Kama Kwenye Diary anaandika Chochote.. Na Pia kama Shahidi ana simu pale kizimbani.... Na Kama ameingia na Vitu Visivyoruhusiwa kizimbani tunaomba aondolewe kuwa Shahidi..

Kibatala: Zitoke pande mbili za Mawakili Chini ya Mahakama tukamkague Kwanza Kabla Kesi haijaendelea...

Shahidi: ANAONYESHA DIARY, PENI, KARATASI NA SIMU JUUUUUU kabla hajakaguliwa...

Kibatala: Tunaomba vitu hivyo viwe chini ya uangalizi wa mahakama kabla hatujaendelea na kesi

Afisa wa Mahakama anaenda Kizimbani Kuchukua DIARY, PENI na SIMU kutoka kwa shahidi wa Jamhuri.. Shahidi anatikisa kichwa kama ishara ya kusikitika... WS Pius Hilla anaendelea wakati shahidi anaendelea kusikitika...

Inamaana shahidi wa leo anapewa majibu kupitia simu? hii kesi wataumbuka sana, na kibaya zaidi kwao hii kesi kwenda live.
Dah... Washazoea kuiba kura wanadesa mpaka mahakamani...
 
Serikali inawafanya mawakili waonekane malofa. Ni dhahiri serikali ina-collude na wale maafisa wa mahakama bandia, wasiojulikana waliopenyeshwa ndani ya mahakama. Marehemu aliua kabisa mhimili wa mahakama na Bunge.

Bahati mbaya wanaofanya haya akili zao ni kidogo sana, watazidi kuumbuka zaidi kila siku ipitayo.
 
Serikali ya CCM inajihusisha pia na kubumba ushahidi mahakamani katika kesi zao za kubumba dhidi ya Raia wema.
Hivi hata mdhikiri uchi nchi haiwezi kufanikiwa kwa chochote kile.
Ndio maana hata baada ya Majaliwa kutembelea mazoezi ya Taifa stars tumeambulia kipigo cha 0-3.
Balaa tupu, mpira tucheze sisi Masoli tulambwe sisi.
Serikali iache mambo ya nuksi
TRUE
 
Watu wanavyopiga Kelele juu ya kesi hii unaweza dhania kuwa Mbowe anajulikana sana hapa TZ kumbe ni boya mmoja tu.
 
IMG_20211112_160343.jpg
 
kwa sababu natoa kitu halisi MBOWE GAIDI AFUNGWE MILELE
Mahakama haifanyi kazi namna hiyo dogo, inahitaji ushahidi wa kujiridhisha pasi na shaka na ndiyo maana Shahidi wenu wanaingia na madesa kufanya uhalali wa kumfunga mbowe.., ngoma bado mbichi.
 
Updates:

Jaji amesema kutokana na swala la privacy ya shahidi, simu yake atarudishiwa. Ila diary itakaa chini ya uangalizi wa mahakama, then j3 utatolewa uhamuzi
 
Back
Top Bottom