Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

ni sheria gani inayosema shahidi hatakiwi kuwa na material yeyote? wakati sheria inaruhusu kama kuna kitu unataka kufanya reference unaiomba mahakama na unasoma kabisa sehemu za kumbukumbu zako? acha kupoteza wenzako bush lawyer wewe.
Yeye aliomba mahakama?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
"COMPETENCY, COMPELLABILITY AND PRIVILEGE OF WITNESSES
Who may testify
(1) Every person shall be competent to testify unless the court considers that he is incapable of understanding the questions put to him or of giving rational answers to those questions by reason of tender age, extreme old age, disease (whether of body or mind) or any other similar cause...."

Shahidi hakua competent kwa ushahidi wake ndo maana ali ingia na dairy na kalamu ili imsaidie kukumbuka alicho kalilishwa.....hafai kua shahidi.
 
Sifa za kuwa shahidi hizo hapo- kwa hiyo shahidi kavunja kifungu gani hapo?

CHAPTER V
WITNESSES
PART I
Acts Nos. 19 of 1980 s. 11; 4 of 1998 s. 27 127.-

COMPETENCY, COMPELLABILITY AND PRIVILEGE OF WITNESSES
Who may testify
(1) Every person shall be competent to testify unless the court considers that he is incapable of understanding the questions put to him or of giving rational answers to those questions by reason of tender age, extreme old age, disease (whether of body or mind) or any other similar cause.

(2) Where in any criminal cause or matter a child of tender age called as a witness does not, in the opinion of the court, understand the nature of an oath, his evidence may be received though not given upon oath or affirmation, if in the opinion of the court, which opinion shall be recorded in the proceedings, he is possessed of sufficient intelligence to justify the reception of his evidence, and understands the duty of speaking the truth.

(3) Notwithstanding any rule of law or practice to the contrary, but subject to the provisions of subsection (7), where evidence received by virtue of subsection (2) is given on behalf of the prosecution and is not corroborated by any other material evidence in support of it implicating the accused the court may, after warning itself of the danger of doing so, act on that evidence to convict the accused if it is fully satisfied that the child is telling the truth.

(4) Notwithstanding any rule of law or practice to the contrary, but subject to the provisions of subsection (7), the evidence of a child of tender age received under subsection (2) may be acted upon by the court as material evidence corroborating the evidence of another child of tender age previously given or the evidence given by an adult which is required by law or practice to be corroborated.

(5) For the purposes of subsections (2), (3) and (4), the expression "child of tender age" means a child (whose apparent age is not more than fourteen years.

(6) A person of unsound mind shall, unless he is prevented by his condition from understanding the questions put to him and giving rational answers to them, be competent to testify.

(7) Notwithstanding the preceding provisions of this section, where in criminal proceedings involving sexual offence the only independent evidence is that of a child of tender years or of a victim of the sexual offence, the court shall receive the evidence, and may, after assessing the credibility of the evidence of the child of tender years of as the case may be the victim of sexual offence on its own merits, notwithstanding that such evidence is not corroborated, proceed to convict, if for reasons to be recorded in the proceedings, the court is satisfied that the child of tender years or the victim of the sexual offence is telling nothing but the truth.

(8) For the purposes of this section the term "sexual offence" means any of the offences created in Chapter XV of the Penal Code

Kibatala: Sheria Inakataza na Mpaka kesi zipo za Marejeo Vifungu Vya 127 Vya Sheria ya Ushahidi,

Jaji: naomba Mkatumie Week end hii mkajidhirishe Kwa Kufanya Wasilisho Dogo Kuhusu Shahidi Kuwa na Diary Kizimbani.. Na Kuhusu simu tumrudishie...

Jaji: Ndiyo nimesema Jumatatu tutafanya Wasilisho hilo kwanza nini Madhara yake ya shahidi kuwa na Diary
 
Kesi ni process na siyo event..!!! Embu niambie, kama kila kinacholetwa mahakamani kinawekewa pingamizi kwenye kupokelewa na hakipokelewi kweli.. KESI KUU ITAENDESHWAJE ?
utashangaa kuan series of evidence nyingi, hiyo iliyokataliwa ni moja tu na haiathiri kesi nzima. na sidhani kwenye hiyo kesi kila kitu kimekataliwa kupokelewa na mahakama.
 
utashangaa kuan series of evidence nyingi, hiyo iliyokataliwa ni moja tu na haiathiri kesi nzima. na sidhani kwenye hiyo kesi kila kitu kimekataliwa kupokelewa na mahakama.
Na zenyewe zikikztaliwa je?
 
YAANI huo ujinga wenu wa kufurahia ugaidi unaingia nchini na watu wenye tamaa kina mbowe haukubaliki mbowe lazima alle miaka mingi sana na akiachiwa tunakuja kumpiga hata na mawe huku mtaani MBOWE GAIDI
We jamaa una ngozi ngum, duh?! Robo ndo usha-kufuru rohomtakatifu, hivo umebaki Kama boya tu!
 
Kibatala: Sheria Inakataza na Mpaka kesi zipo za Marejeo Vifungu Vya 127 Vya Sheria ya Ushahidi,

Jaji: naomba Mkatumie Week end hii mkajidhirishe Kwa Kufanya Wasilisho Dogo Kuhusu Shahidi Kuwa na Diary Kizimbani.. Na Kuhusu simu tumrudishie...

Jaji: Ndiyo nimesema Jumatatu tutafanya Wasilisho hilo kwanza nini Madhara yake ya shahidi kuwa na Diary
ohooo kishanuka....

hawa mapolice walishamfanya Jaji babu yao na mahakama ni sehemu yao ya ukumbini, leo kimewageukia.
 
Mtu kakamatwa na nyaraka ya wizi mahakamani si wangeanza na huyo
Unajua jambo hili tusilichukulie rahisi rahisi. Haiwezekani mtu anaenda chumba cha mahakama cha kuhifadhi nyaraka, anaiba nyaraka halafu bila woga anakuja nayo mahakamani kuitumia kama ushahidi, anaulizwa umepataje hiyo nyaraka hana la kujibu halafu anaachwa tu hivi hivi! Hivi usalama wa nyaraka za serikali mahakamani ukoje? Hiyo ni nyara ya serikali.
 
Unajua jambo hili tusilichukulie rahisi rahisi. Haiwezekani mtu anaenda chumba cha mahakama cha kuhifadhi nyaraka, anaiba nyaraka halafu bila woga anakuja nayo mahakamani kuitumia kama ushahidi, anaulizwa umepataje hiyo nyaraka hana la kujibu halafu anaachwa tu hivi hivi! Hivi usalama wa nyaraka za serikali mahakamani ukoje? Hiyo ni nyara ya serikali.
Hvi mabalozi bado wanahudhuria hii case. Mbona aibu sana
 
Madaktari wanaingia na nondo sembuse njagu.
Njagu si aliapa anapopewa unjagu na Leo mahakamani kaapa,he PGO haijui akiwa mahakamani.
Swali,nani amempa maono Kibatala atabiri kuwa jamaa ana nondo?
Siku 3 mfululizo mlikuwa na J4 ambaye amekiri kusimamishwa kazi kwa utovu wakumbambikia meno halafu upande wa serikali bado unamtumia mahakamani.
Muuguzi analalamikiwa na wagonjwa,Dr unamtumia tena akathibitishe dawa kwa wagonjwa.
Usikute kapewa tip na mmoja mawakili wa serikali.
 
Watu wanavyopiga Kelele juu ya kesi hii unaweza dhania kuwa Mbowe anajulikana sana hapa TZ kumbe ni boya mmoja tu.
We fala kweli huku mtani kwetu kuna mwanaccm mmoja anadai alikuwa hajui kama Mama yenu alikuwa Scotland, lakini anajua kuwa mbowe yupo mahakamani kwa kesi ya kusingiziwa na maccm menzake, kesi ya mbowe imemfunika mama na ziara zake.
 
Back
Top Bottom