Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

Msajili atakuwa alioteshwa na roho mtakavitu.
Kwa hiyo barua anaweza hata Sugu akaja kuitumia kama ushahidi kwakuwa haijamtambulisha mtoa ushahidi.
Bora wangeandika TO WHOM IT MAY CONCERN.
Kibatala angepigwa pin kuuliza
 
Mapingamizi yote matatu Jaji Taganga kayakataa.

Kasema, eti kielelezo kilichopo chini ya mahakama si lazima kuwe na DISPOSAL ORDER kukitoa unless kesi iwe imemalizika na kielelezo hicho kitolewe kwa nia ya kukiharibu au kukirejesha serikali au kwa mwenyewe.

Hakuna haja ya kuwa na DISPOSAL ORDER ya kielelezo kilicho chini ya custody ya mahakama iwapo kielelezo hicho kinaendelea kutumika kwenye kesi inayoendelea ambayo hukumu yake haijatoka.

Mjadala unaendelea.
Kwani jaji kuyakataa mapingamizi ndo mwisho wa kesi? Au kupokelewa jaji ameshasema mahakama mwisho wa kesi itaamua . Tunapaswa kuwapa watulivu. Mawakili wa utetezi wanajua wanachokifanya hasa haya mapingamizi. Wanajua aina ya majaji tulionao. Hapo inatengenezwa nguvu ya hoja kwenye rufaa. Mtaniambia ni swala la muda tu.
 
Jaji anatafuta kila njia ya kumfurahisha Samia. Labda pengine atabahatisha cheo kama mwenzake.

1) Jaji Mkuu - kada wa CCM aliyekuwa akishiriki vikao na Magufuli, Bashiru na Polepole
2) Msajili wa mahakama - TIS
2) Jaji Kiongozi - TIS
3) Jaji Tiganga - TIS (baada ya kesi lazima naye apewe cheo)
4) Wapo majaji wengine 8, wote waliteuliwa na marehemu kuwa majaji - TIS

Kesi ya Mbowe, haitasikilizwa na jaji yeyote wa mahakama, zaidi ya hawa maafisa wa TIS waliochomekwa mahakamani kuvuruga mfumo wa mahakama.
Kina Kibatala wote ni TISS. Waulize, I bet hawatakubali kwa sababu Section 7 inasena ni marufuku kumtaja mwana TISS. Ni kazi ngumu TISS, kazi ya heshima hapewi tom dick and harry.
 
AIgmal.jpg
 
Kina Kibatala wote ni TISS. Waulize, I bet hawatakubali kwa sababu Section 7 inasena ni marufuku kumtaja mwana TISS. Ni kazi ngumu TISS, kazi ya heshima hapewi tom dick and harry.
Mimi pia ni TISS, na nakuambia kina Kibatala siyo wenzetu!
 
Kwa hiyo barua anaweza hata Sugu akaja kuitumia kama ushahidi kwakuwa haijamtambulisha mtoa ushahidi.
Bora wangeandika TO WHOM IT MAY CONCERN.
Kibatala angepigwa pin kuuliza
Badaaaaaae ndiyo mtajua Kibatala ni nani katika Jamhuri ya muungano wa watu wa Tanzania ya afrika mashariki barani Afrika.
 
Badaaaaaae ndiyo mtajua Kibatala ni nani katika Jamhuri ya muungano wa watu wa Tanzania ya afrika mashariki barani Afrika.
Unaonaje status ya kesi hii je win win situation au Jamhuri itashida? Karibu mkuu
 
Shahidi hiyu ni aibu ya jaji .aliambiwa hana hadhi ya kusimama mahakamani jaji akang'ang'
ania .Aibu ya jaji na mahakama
Dawa ya siyekuwa msikivu ni kutokwa na damu masikioni kama kenge aliyelazimishwa kuwa msikivu🤔.
 
Hivi huyu Tiganga ni jaji kweli ?.Maana naona anatoa maamuzi bila kutaja vifungu vya sheria vilivyomuongoza ktk kufikia maamuzi.anayoyafanya
 
Mkuu,
ushahidi wa kesi ya X DC, unafanana na ushahidi huu wa kesi ya Mh.Mbowe..??
Kwani ushahidi wa X KUB kwa upande wa jamhuri umefika mwisho? Lakini pia kumbuka ushahidi wa X DC wa hai na wa X KUB hautafanana kwa sababu matukio [facts of the case] ni tofauti.
 
Kunanabii kasema makamu ndugu Mpango atapokea kijiti 'ETI' kabla yamuda ulopangwa kupokezana....
Huwa anasali na kuoneshwa ninazo shahidi sake hivyo tumuombee kwenye kijiti lakini naye ajisafi kwanza...
Sio maneno yangu najua sote tunapita hapa duniani...
Maneno yangu ni tupite vyema hapa duniani huku tukitenda haki na kumcha Mungu katika kweli na kweli tupu!!
Mungu ibariki dunia,
Asanteni kwa kunisoma.
 
Maana yake Mawakili wa Chadema ni ovyo na ni watupu sana kisheria
Kilichofanyika ni kwamba mashahidi wa Mbowe wote wanasaini payment voucher serikalini. Soma uelewe siyo ukurupuke kubisha pasipo kuelewa kilichoandikwa.
 
MAWAKILI WA UTETEZI endeleni kukusanya taarifa zote za mashahidi wa serikali ili kulingana na mapungufu yao pamoja na jaji wao vije viwasaidie kwenye ya juu zaidi.Maana kwa hali ilivyo tayari hukumu imeshaandaliwa,kinachosubiriwa ni muda tu wa kusoma hukumu.Mungu muweza wa yote azidi kuwapa nguvu na afya njema ktk kazi yenu ya kuwatetea wanyonge.Inshallah Mungu atawalipa kwa kazi yenu.Wapenda haki wote tuseme AMINA.
 
Kumbe ndo maana alikataa kufanya Ijumaa alikuwa na consultation kutoka Chamwino Ikulu. Angetumia hata sheria basi, kukataa hilo Pingamizi. Lakn hapo katumia mamlaka, bila kujua kwamba kuna siku maamzi haya, yanaweza kuathiri kesi nyingine, yatakapotumika kama Rejea.

Anyway, naamini mbele ya Safari haya maamzi ya influence pasipo ku-base kwenye Sheria, kanuni na taratibu yatafikia kikomo. Na hii kesi itawaumbua. Eee mwenyezi Mungu, katika hili tunakuomba usimame na Mwenye Haki.
Hizi hoja mfu ndizo zinafanya Chadema wanashindwa kwa kila kesi. Mahakama siyo jukwaa la siasa. Acheni kuwahadaa watu na hoja mfu kama hizi kwenye masuala ya kisheria.
 
Back
Top Bottom