Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Akina kibatala wanamsubiri kwa hamu
Yah. Kama hivi

Screenshot_20220126-220237.png
 
Unajuaje kwamba alikuwa anatafuta walinzi, kama si kutokana na ushahidi wa Lt. Urio? Ikiwa ndivyo, kwa nini usiyaamini maelezo kamili ya shahidi huyu--kwamba haikuwa biashara ya ulinzi binafsi, ila ilikuwa ZAIDI YA HAPO--misheni chafu?

FM kutopokea simu za Lt. Urio mara kwa mara kunaweza kuwa na maana kadhaa. Hakutaka Lt. Urio ajue mwelekeo wake specific kuanzia hapo.

Pili, alikuwa anafuta ushahidi wa kimawasiliano incase chochote kikija kutokea baadaye. Refer kauli ya FM kupitia Messenger, baada ya Lt. Urio kumkosa kwenye simu ya kawaida mara nyingi: ^Any news? Sikuweza kupokea simu zako kwa sababu ya (...) (...) (...). Nadhani unanielewa...^

Tatu, he had nothing to do with him anymore. Alimtumia, amewapata vijana aliokuwa akiwatafuta, then, that's it! As the famous saying goes, ^Use them, then dump them when their honey is exhausted!^

NB: Mazungumzo ya face-to-face almost 3 good hours Mikocheni!

Hizo msg za Telegraph zipo?
Call logs history za whasap zipo?

Kwakua alikua anaripoti kwa Kingai, atakua anamtumia hizo screenshot...
Zipo mahakamani?
 
Hapana Sina mamlaka hayo.
Ila mbowe atajifunga mwenyewe
Kwanini alikuwa anajificha ficha mawasiliano yake na urio?
Sasa mwenzie ndio kawa wa kwanza kumpigia Simu DCI.
Hayo ya kusema urio aliteswa kituoni NI ujanja tu.
Maana yeye ndo aliyechoma utambi.
Duh! Hii nchi ina watu.
 
Kuhusu Mbowe kushirikiana na hao makomando, sikwamba ilikuwa ni wazo lake direct! Ina maana wapo watu waliokuwa wamechomekwa kumshauri kabla kuhusu kuwatumia ili hii kesi itengenezwe kwa namna inavyoonekana!
Btw maadam bado hatujasikia upande wake, akianza kunguruma, nyeupe haitaonekana nyeusi!
Hivi naye atapanda yeye kama yeye au sio daah sijui lini hiyo
 
Unajuaje kwamba alikuwa anatafuta walinzi, kama si kutokana na ushahidi wa Lt. Urio? Ikiwa ndivyo, kwa nini usiyaamini maelezo kamili ya shahidi huyu--kwamba haikuwa biashara ya ulinzi binafsi, ila ilikuwa ZAIDI YA HAPO--misheni chafu?

FM kutopokea simu za Lt. Urio mara kwa mara kunaweza kuwa na maana kadhaa. Hakutaka Lt. Urio ajue mwelekeo wake specific kuanzia hapo.

Pili, alikuwa anafuta ushahidi wa kimawasiliano incase chochote kikija kutokea baadaye. Refer kauli ya FM kupitia Messenger, baada ya Lt. Urio kumkosa kwenye simu ya kawaida mara nyingi: ^Any news? Sikuweza kupokea simu zako kwa sababu ya (...) (...) (...). Nadhani unanielewa...^

Tatu, he had nothing to do with him anymore. Alimtumia, amewapata vijana aliokuwa akiwatafuta, then, that's it! As the famous saying goes, ^Use them, then dump them when their honey is exhausted!^

NB: Mazungumzo ya face-to-face almost 3 good hours Mikocheni!
Acha ufala mzee,aikusaidii chochote?chief alisema wenzake wamehukumiwa,we unawajua waliohukumiwa?Mungu yupo na anaona ata anko alikuwa jeuir hv hv now Yuko Jahanam anaungua
 
Hivi hawa watu wako serious na mambo ya ugaidi kweli? Kama huyu Luteni alitoa taarifa kwa DCI na wakakubaliana aendelee na utaratibu kama walivyokubaliana na Mbowe basi kazi tunayo.
Hao makomando Mbowe alikuwa anawafahamu? Kwa nn wasipeleke polisi wapelelezi wakawa undercover kama ndiyo makomando ili kupata ushahidi mzuri?

Hili hoja ungemtumia Kibatala amulize Shahidi....

Hoja mzuri sana
 
Hivi hawa watu wako serious na mambo ya ugaidi kweli? Kama huyu Luteni alitoa taarifa kwa DCI na wakakubaliana aendelee na utaratibu kama walivyokubaliana na Mbowe basi kazi tunayo.
Hao makomando Mbowe alikuwa anawafahamu? Kwa nn wasipeleke polisi wapelelezi wakawa undercover kama ndiyo makomando ili kupata ushahidi mzuri?
Lazima jeshi la polisi liliweka back-up plan ndiyo sababu wakanaswa mapema kabla ya kutekeleza tukio kule Moshi. Hujui kusoma siku hizi, au?
 
Wewe inaonekana unajua kusoma "tu". Humu si kusoma tu bali na kuchambua pia,

Hiyo kazi ya kulipua vituo hadi sasa haijapata ushahidi usiotia shaka, ameyaongea Urio kama wewe unavyoweza kutunga story yoyote ukawaeleza watu.

Watuhumiwa wenyewe walikana kufanya kazi hiyo katika ushahidi wakiekeza kuwa walikwenda kufanya VIP protection.

Urio mwenyewe kwenye maelezo ya ushahidi wake hakuna sehemu ambapo amewaambia hao watuhumiwa kwamba wanaenda kufanya kazi ya kulipua vituo bali anawatuma vijana wake kwenda kufanya kazi halali ya kumlinda Mbowe ila kwa tahadhari ya kiapo chao, nao wanakubali na hata kabla ya kuanza kazi wakawahiwa kubambikiwa kazi "fake" kwenye mashtaka.

Kama Urio yeye alikuwa anajua kuwa kuna kuchoma vituo halafu akawaficha hao vijana wake akina Adamoo ili kutengeneza mtego kama inavyoonekana hili haliwezi kuhalalisha wao kuwa na nia hiyo ovu ya kutenda ugaidi bali atabaki nalo Urio maana si kwa nia wala vitendo vijana hao ktka ushahidi wao wote hakuna mahali walipohusika.

Ama hii ya kutaka kuonesha kuwa Mbowe ndiye aliyekuwa anaratibu haitatbitishwa kwa maneno tu ya Urio bali kuna zaidi yake, labda tusubiri hao mashahidi wengineo wanaokuja ila wa sasa amesha hitimisha kuwa walinzi wa Mbowe hawakuwa na hatia ktka shitaka la ugaidi.

Hata mwelekeo wa mashahidi watakaokuja hawatakuwa na jipya maana mpishi wa stori ndo huyu.
1. Kuleta taharuki
2. Kukata miti na kusababisha uharibifu kwenye miji na majiji makubwa
3. Kulipua vituo vya mafuta
4. Kuwadhuru viongozi

Huoni kwamba vijana wa FM waliwekwa kwenye 18 wakiwa wameanza kutekeleza mojawapo ya mbinu hizo chafu?
 
Aliyetengeneza hyo kesi ni mbowe mwenyewe.
Anapiga simu kwa namba binafsi,akipigiwa apokei,anatuma hela kwa njia ya wakala.
Kwanini alikuwa anajificha ficha mawasiliano yake na urio?

Hizo namba alizokua anapigia na mbowe amvazo sio zake shahidi alimpa Kingai?

Kumbuka aliambiwa awe anaripoti kwa Kingaki matukio yote...

Kwakua mbowe alikua anatumia namba za watu, hao watu walimamwatwa kutoa ushahidi kwa simu zao kutumiwa mbowe?
 
Alimwamini kwa kigezo cha ^Homeboy^! Jiulize, kwa nini hata alidiriki kufanya naye mawasiliano yoyote? (And, they are not blood-related?) Sababu ni ileile ya HOMEBOY!

FM kukata mawasiliano? Mbowe mwenyewe kwenye Messenger alimwambia Lt. Urio (according to shahidi wa leo): ^Nimeshindwa kupokea simu zako kwa njia ya kawaida kwa sababu (...) (...) (...) Nadhani unajua!^
Rejea,Baada ya kuwapata kina Adamoo alikata mawasiliano kabisa na Urio!
Urio akaanza kuwatafuta kina Bwire!Wakati Huo wote hana mawasiliano na Mbowe!
Kwenye cross examination mtajua hamjui!
 
Hivi hawa waandaa mashtaka wanatuona watanzania wote ni wajinga, yaani Mbowe aandae kufanya ugaidi na watu asiowajua, kwamba atafutiwe watu wa kufanya ugaidi na mtu kisa ni makomandoo, Mbona hayo ya kukata miti, kuchoma vituo vya mafuta, kumuua Sabaya haviihitaji ukomandoo, Mbowe ana wafuasi lukuki nchi nzima tena wale royal ashindwe kuwatumia kufanya huo ugaidi awategemee makomandoo ambao hata hawajui na hajui mwelekeo wao kisiasa.

Turudi kwa Dci, apewe taarifa nzito kama hii ya kutenda ugaidi na kuhatarisha amani na usalama wa nchi akae kimya na kumuachia huyo Urio kutafuta hao watu na kuwa peleka kwa Mbowe, nchi hii ina vyombo vingi vya ulinzi na usalama walishindwa nini kuchukua watu wao wakawapeleka kwa Mbowe hadi wakamuachia kazi hiyo Urio?

Ushahidi wa Urio unaungwa mkono na ushahidi upi wa kielectroniki?
Wanatumia kodi zetu vibaya.
 
1. Kuleta taharuki
2. Kukata miti na kusababisha uharibifu kwenye miji na majiji makubwa
3. Kulipua vituo vya mafuta
4. Kuwadhuru viongozi

Huoni kwamba vijana wa FM waliwekwa kwenye 18 wakiwa wameanza kutekeleza mojawapo ya mbinu hizo chafu?
Hizo kazi zote zingefanywa na hao watu 4 tu, tena watu ambao umeletewa.
 
Na Yale ya kukutana mikocheni?
Na vipi miamala ya fedha aliyofanya mbowe
Vipi mawasiliano yao.
Kumbuka kabla ya kutokea mateso kule mbweni kamanda urio alimpigia simu DCI boaz akaenda mpaka ofisini kwake akakutana na afande kingai wakapeana MAELEZO ya kumfuatilia mbowe.
Hapo hakuna mtu yeyote aliyekamatwa
Utajuaje kama hayo ni kweli?Kama ni story tu iliyotengenezwa?
 
Huwezi mfunga mtu kwa ushahidi wa hovyo kama huu - takataka...aibu kwa serikali ya CCM.

Urio so far hajatoa evidence yoyote kuthibitisha anachokiongea - tarehe hakumbuki, hotel alizoitwa na Mbowe hazijui..yaani ushahidi unaoelea kaa boya.

Hakuna Jaji duniani anaweza kumfunga mtu kwa ushahidi huu hata kama akiwa ni adui wa mshitakiwa atashidwa.
Kiunganishi ni bwire,, akikiri tu kosa imekula kwa mr chairman
 
Kilichompumbaza Mbowe ni kuamini "mchaga" mwenzake hawezi kumsaliti kwa chasaka!

Hakujua ukienda kule unaikana hadi familia!

Tujifunze hapa, ukabila haulipi.
Kakake mbowe alikuwa mjeshi mkubwa tu, mungu amrehemu
 
Back
Top Bottom