mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mimi nashindwa kuwaelewa Hawa jamaa.
Hata akili ya kuwaza kidogo tu Hawana.
Wanashindwa kujiuliza Kama mbowe na kamanda urio wanajuana,je walikuwa wanakaa vikao,alishawahi kumtumia hela,za kazi gani?
Hata akili ya kuwaza kidogo tu Hawana.
Wanashindwa kujiuliza Kama mbowe na kamanda urio wanajuana,je walikuwa wanakaa vikao,alishawahi kumtumia hela,za kazi gani?
It means FM asingemtafuta Lt. Urio, leo tungekuwa na mada zingine kabisa!