hii nafuu yako itapotea atakapo kuja mtaalamu wa mawasiliano ya simuKwa cross-exam ya leo, case closed! Mbowe Januari 2020 alikwa gerezani Segerea lakini wakati huo huo alikutana na Shahidi Kaaya huko Longido! How possible was that?
... BWANA Mungu wa Mbinguni ni wa ajabu sana; ameanza kufanya njia pasipo na njia. Naona Shamu imeanza kugawanyika huku na huku Mwamba na watu wake wakipita katikati salama! Firauni na jeshi lake watashupaza shingo bado? Haijapata kuandikwa, ninyi mtakaa kimya Bwana atawapigania? BWANA ukasimame na wenye haki maana wewe ni Mungu wa HAKI. Amen.
Kuna maelezo chini ya onyo na maelezo chini ya kiapo - tafakariHuyu shaidi mbona mweupe Sana kichwani, hivi kwanini maelezo aliyotoa Chini ya polisi, ni tofauti na maelezo aliyotoa Jana wakati anaongozwa na wakili wa serikali, Na pia ni tofauti na maelezo aliyoyatoa polisi,Kuna vitu vingi anaviongea havipo ktk maelezo aliyotoa Polisi.
Inamaana sio kazi ya wakili wa serikali kumwambia azungumze kile ambacho amekitolea maelezo au wakili wa serikali huwa hasomi maelezo ya shaidi wake kabla.
hii kesi mbona Kina Mbowe Wana kila dalili yakutokutwa na hatia Kama itahukumiwa kwa haki
Probably kuna Mbowe mapacha wa kufanana.Kwa cross-exam ya leo, case closed! Mbowe Januari 2020 alikwa gerezani Segerea lakini wakati huo huo alikutana na Shahidi Kaaya huko Longido! How possible was that?
... BWANA Mungu wa Mbinguni ni wa ajabu sana; ameanza kufanya njia pasipo na njia. Naona Shamu imeanza kugawanyika huku na huku Mwamba na watu wake wakipita katikati salama! Firauni na jeshi lake watashupaza shingo bado? Haijapata kuandikwa, ninyi mtakaa kimya Bwana atawapigania? BWANA ukasimame na wenye haki maana wewe ni Mungu wa HAKI. Amen.
Mawakili wapo Sawa tu,tusidharau taaluma za watu.kaaya kajichanganya hadi mawakili wa serikali nao hawajamwelewa.Kweli kabisa Bwashee
The means determines the end, huyu shahidi kahongwa na jopo la utetezi.Mmeshaanza kushangilia ushindi wakati ndiyo kwanza dakika ya 5 kati ya 90, punguzeni mihemko
Alimtongoza mama yake.Jamaa alimtongoza mama mwenye 60yrs huku yy ana 31yrs...huyu kajitia dole
Duh kwa hiyo ni mtoto wa tano hapo!Wakati Kaaya anazaliwa Helga Mchomvu alikuwa na miaka 29, kama angeolewa na miaka 22 angekuwa ni mama mwenye watoto 4 yaani akiwa na 23, 25, 27 na 29.
Dogo agizia chochote hapo kwa Mangi ntapitia kulipia.Kibatala: kwa Mara ya kwanza ulikutana na Mbowe?
Kaaya:mwezi wa kwanza 2020
Kibatala:unafahamu kuwa kipindi hicho Mbowe alikuwa mahabusu?
Kibatala: ulikamatwa lini ?
Kaaya: mwezi wa 8 ,2020
Kibatala:ulimpatia mbowe majina na namba lini?
Kaaya:mwezi wa 10 ,2020
Hadi mashahidi wote waishe Hangaya nae atatajwa hivyo ili kufikia malengo ni Bora huyu Kibatala alambe uteuzi wa kuwa AG tu.
Ndugu yangu,nimemjibu huyo bwana kwa kejeli tu.Nahisi kuna udhalilishajiunataka ufanyike dhidi ya GAIDI.Mawakili wapo Sawa tu,tusidharau taaluma za watu.kaaya kajichanganya hadi mawakili wa serikali nao hawajamwelewa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jaji anaandika kila kitu. Atakuja kutolea uamuzi anapojumuisha na hatimaye kutoa hukumu.Mfano mzuri mtu anadai Mbowe kaja Longido wakati kumbukumbu za kimahakama ziko wazi kwamba alikuwa Segerea, mbona kaachwa?
Kapangua awali gani ktk hii cross examination ?Mnafwatilia kesi kwa pupa sana.
Kaaya sio chizi upanguaji wake wa maswali kwa wajinga mnadhani ajui anachofanya.. Ngoja Mshangae Makubwa zaidi ...
Nadhani umeifuatilia re-examination. Hakuna ilichoponya mkuu. Cross examination imefanya uharibifu mkubwa sana (Irreparable damage). Huyu shahidi number 2 amewaangusha mawakili wa serikali.umesahau kuwa mwisho kuna re examination na final submission.- wewe naye zuzu tu
Aliyeleta thread ni wa upande ule.....Nia yake ilikuwa kublock JF kupata sustainable update Kutoka Kwa ripota mzuri.update za mahakamani ziko wapi mbona sioni kitu
kwahiyo itakuwaje mzee, kwani shida ni nini hasa?Aliyeleta thread ni wa upande ule. Nia yake ilikuwa kublock JF kupata sustainable update Kutoka Kwa ripota mzuri.
Nilikuwa narespond post ya mtu, siyo Kwa wajingawanjinga kama wewe.kwa io itakuwaje mzee,kwani shida ni nini hasa??
Sawa sawa hongera kwa kuwa mwerevuNilikuwa narespond post ya mtu, siyo Kwa wajingawanjinga kama wewe.