Katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mh Mbowe na wenzake 3,Serekali ilikuwa na mashahidi 24.
Ajabu leo mawakili wa Serekali wamefunga ushahidi wao baada ya kumuongoza shahidi wa 13,na kuamua kuwaweka kando mashahidi 11.
Ni wazi cross examination iliyoongozwa na wakili msomi Mh Kibatala ambaye ni kiongozi wa Jopo la Mawakili wa utetezi kuliwaweka katika wakati mgumu Mashahidi wa kuchonga ambao wengi ni police officers 👮‍♀️.
Kwa hakika jopo la Mawakili wa Serekali pamoja na mashahidi wa Serekali walielemewa sana.Wengi wao walikuwa wakiomba Ruksa ya kwenda kujisaidia.
Nia aibu ya kiwango cha kutisha na kusikitisha kila shahidi wa Serekali alipopanda kizimbani kutetea hoja za kuchonga.Kumbe Serekali kupitia jeshi la police wana uwezo wa kufungua kesi ya michongo,Mashahidi wa michongo,Majaji wa michongo na Mawakili wa michongo.
Katiba mpya sasa ni muhimu kuliko wakati wote.
Naomba kuwasilisha,Ngongo kwasasa Belgium.