Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022

Kabisa Mkuu, yaani niko na majirani zangu polisi huku maeneo ya Kijichi , nimehamisha hadi kijiwe cha kunywea pombe, siku hizi najumuika huku kibada au ufukweni huku kigamboni ,sitaki kabisa wanizoee yaani hata gari sitaki kabisa kutoa lift kwa mtu anaeitwa polisi . ni wa hovyo sana hawa jamaa
 
Hapa bado dereva anayeitwa Pc Aziz, na Pc Francis, bado SSgt Nuru mtunza vielelezo central Dar, bado askari wa CRO Mbweni, bado Anitha wa RAU madukani.
Daahhhh

Nikisema naumia bora kukaa kimya , kwa kuwa wananchi nao wameamua kukaa kimya
 
Mimi siwapendi kbs maisha yangu yoote hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…