Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022

Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022

Ila nyie Mungu ni wa ajabu, hivi ni lini tungekuja jua kuna mtu anaitwa Jumanne, Goodluck, Mahita etc ambao wote ni suspicious wa utekeaji na utesaji? Haya ni matokeo ya dhambi za dhuruma nyingi, utesi mwingi, uonevu mwingi na kila aina ya dhuruma ambayo imefika kuwa chukizo kwa Mungu na hatimaye kuwaanika wazi sehemu ambayo haina kificho, Kwa hakika huu ni mpango wa Mungu.
yajayo yanafurahisha wapo tunaishi nao mtaani, wao tunakunywa nao, wao tunasafiri nao, wao tunashiriki nao katika mambo mengi ya kijumuiya, wao watajificha wapi tena? makusudi ya Mungu inayo maana kuu kwa kila jambo!!!
Kabisa Mkuu, yaani niko na majirani zangu polisi huku maeneo ya Kijichi , nimehamisha hadi kijiwe cha kunywea pombe, siku hizi najumuika huku kibada au ufukweni huku kigamboni ,sitaki kabisa wanizoee yaani hata gari sitaki kabisa kutoa lift kwa mtu anaeitwa polisi . ni wa hovyo sana hawa jamaa
 
Hapa bado dereva anayeitwa Pc Aziz, na Pc Francis, bado SSgt Nuru mtunza vielelezo central Dar, bado askari wa CRO Mbweni, bado Anitha wa RAU madukani.
Daahhhh

Nikisema naumia bora kukaa kimya , kwa kuwa wananchi nao wameamua kukaa kimya
 
Kabisa Mkuu, yaani niko na majirani zangu polisi huku maeneo ya Kijichi , nimehamisha hadi kijiwe cha kunywea pombe, siku hizi najumuika huku kibada au ufukweni huku kigamboni ,sitaki kabisa wanizoee yaani hata gari sitaki kabisa kutoa lift kwa mtu anaeitwa polisi . ni wa hovyo sana hawa jamaa
Mimi siwapendi kbs maisha yangu yoote hawa watu
 
Back
Top Bottom