mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Akijibu hili Paskali ntakimbilia ccm!! Paskali anaogopa kivuli Chake mwenyewe!!Ndg Mayalla, nyie wa vyombo vya habari mnaogopa kufanya live coverage ya mikutano ya Lissu kwa sababu mnazozijua wenyewe. Hata magazeti, almost yote yanakuwa na title moja tu ya Magufuli, na kapicha KADOGOOOOO ka vyama vya upinzani. Hatujawahi kushuhudia uoga wa wanahabari kwa tawala za huko nyuma kama huu tunaoushuhudia sasa. Kweli tunajua mna watoto wa kulea, mnaogopa kufungiwa, lakini mmezidi mno.
Hahaha!!! Hiyo ahadi inatekelezwa kwa ccm kuwakata masikio ili siku nyingine wasikie vizuri na waelewe kuwa ubunge haugawiki kama peremende.Kila mmoja aliamini upinzani umekufa, mpaka watu na akili zao wakahamia NCCR Mageuzi baada ya kupata tetesi kuwa wana viti 20 vya bure na watakuwa KUB..... USALITI MTUPU, sasa kilichobaki ngoja waje wasalitiwe na wake zao maana nao hawastahili kutosalitiwa
Hakuna aliye baki salama, "dictator" pote amepagusa.Ndg Mayalla, nyie wa vyombo vya habari mnaogopa kufanya live coverage ya mikutano ya Lissu kwa sababu mnazozijua wenyewe. Hata magazeti, almost yote yanakuwa na title moja tu ya Magufuli, na kapicha KADOGOOOOO ka vyama vya upinzani. Hatujawahi kushuhudia uoga wa wanahabari kwa tawala za huko nyuma kama huu tunaoushuhudia sasa. Kweli tunajua mna watoto wa kulea, mnaogopa kufungiwa, lakini mmezidi mno.
Hakuna kituko kama wewe. Ndio tatizo la kukaririshwa. Kudeki barabara ndio nini? Unamzungumzia Lowassa ambaye hayupo hata kwenye equation? Kwani Lissu na Lowassa wana uhusiano. Kwenye hilo fuvu lako kumejaa usaha tu, nenda hospitali wakuokoe.Nashangaa kwa nini hajadekiwa barabara kama ilivyokuwa kwa Lowassa!
Uzuri wa siasa za upinzani Tanzania, wagombea Urais huingia kwenye uchaguzi kwa mbwebwe na baada ya uchaguzi huanza kupotea polepole!
Tanzania kuna vituko!
Hivi wewe akili zako zikoje? Huwa una mtindio?Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
Atawaponza mpaka mama Jesca na Jesca na wenzie. Sisi akifanya hivyo tutahakikisha tuna Sukuma ndani yeye, sukuma ndani mama na sukuma ndani na wapambe! Wote sukuma ndani!Nasikia bukoba watu hawajalala kuamkia leo. Ni Lissu tu huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli magufuli achote tu za kutosha pale BOT kama albashir maana kuanzia November ni Raisi Mstaafu wa Tanzania
Labda 6% ndiyo atapata kwa hii sera yenu ya majimbo mmejikaanga wenyewe, sera ya kikoloni iliyotumika kugawa bara la Africa ndiyo leo mnaifufua kweli nyie Wabeligiji haswaaaaaView attachment 1576775
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuingia kwa kishindo kikubwa mjini Bukoba.
Mji wa Bukoba ambao ni ngome Kuu ya Chadema unatarajiwa kuzizima Leo wakati shujaa huyo atakapokanyaga viunga vya mji huo.
Mgombea Ubunge wa Bukoba Mjini mwenye ushawishi mkubwa Chief Kalumuna amewaalika wananchi wote wa Bukoba kumlaki na kumsindikiza kwa maandamano makubwa mgombea huyo wa Urais atakapowasili Hadi katika viwanja vya Gymkhana.
Wachunguzi wa siasa za Bukoba wanasema huenda Leo mji wa Bukoba ukavunja Rekodi ya Mapokezi iliyowekwa na miji ya Tunduma, Mbeya na Mwanza.
Mpaka Sasa kila dalili zinaonyesha mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ana Uhakika wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60%
Kabla ya kuingia Bukoba Mjini Lissu atahutubia mikutano katika miji ya Karagwe na Misenyi
Kwa asiye na elimu na hapendi kuelimishwa kama wewe sio rahisi kuelewa.Labda 6% ndiyo atapata kwa hii sera yenu ya majimbo mmejikaanga wenyewe, sera ya kikoloni iliyotumika kugawa bara la Africa ndiyo leo mnaifufua kweli nyie Wabeligiji haswaaaaa
Kama namuona Lwakatare anavyochungulia kama panyabuku tunduni
inaelekea somo analowapa Tundu Lissu haliwakolei.Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
... kila kitu kumnukuu baba wa taifa hata zile kauli zake ambazo leo hii angezirekebisha kulingana na wakati tulio nao!Tunahitaji mabadiliko sisi sera za wana ccm zimesha chosha watu.watu wanatawala kwa kukariri
Ccm ni chama cha kigaidi na hii ni serikali ya kishetani na kijambazi kabisa-watu wa karagwe, kyerwa, misenyi bkb vijijini ni miongoni watu walio onja shubiri ya awamu ya magufuli. Walizuiwa kuuza kahawa zao kwa wanunuzi wenye bei nzuri, wakalazimishwa kuuza kwa mkopo kwenye vyama vya ushirika tena kwa bei ya chini. Walio kataa kuuza, ghala zao zilivunjwa na kahawa kichukuliwa kwa lazima.
LISSU AZUNGUMZIE MAMBO HAYA NA ABAINISHE AONESHE MBADALA UNAOKUBALIKA NA WENYE TIJA KWA MKULIMA
Mwambie mwenyekiti wako asifungie TV ziwe huru, unafeli wp kaka paskali? Au na ww umejitoa ufahamu km uvccmAsante sana Mkuu Molemo , kiukweli tungefaidi sana kama Watanzania tungepata fursa ya kushuhudia live kuputia TV, mikutano yote ya Tundu Lissu, kama tunavyo ishuhudia mikutano ya mgombea wetu Magufuli, ili Watanzania tuwapime tuamue tunamchagua nani!.
Nakumbuka hili niliwahi kushauri Chadema lakini hamsikii...
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Nilisema
P
Good.....inaelekea somo analowapa Tundu Lissu haliwakolei.
nitakukumbusha.
1. meli, treni, madaraja, ni wajibu wa kila serekali kwani kodi za wananchi ndizo zinazotumika. pesa hazitoki kwa rais wala chama tawala
2. hata mkoloni alijenga vyote hivi lakini bado Mwalimu JKN (RIP mzee wetu) alipigania uhuru bila kujali misukosuko ya wakoloni
3. vitu hivyo kutekelezwa na serekali ni kama ATM (serekali) inavyotumika kuchukua pesa zako (kodi yako) benki
4. kutekeleza vitu hivyo pasipokuwa na uhuru na haki katika jamii ni sawa na kujenga nyumba bila msingi juu ya mchanga, nyumba hii itabomoka kabla ya hata kupaua
5. Tundu Lissu anasema anataka kujenga miundombinu na kuinua uchumi katikati ya uhuru na haki. hii ni sawa na kujenga nyumba juu ya msingi imara wa zege, nyumba hii itadumu milele!
Chadema hawajawahi muacha salama mgombea Uraisi aliyeshindwa uchaguzi Ni Mbowe tu ndiye alinusurika sababu. Ni mwenye chama .Lisu akishindwa na wabunge wengi wa Chadema wakishindwa hasira zao watazimalizia kwakeNashangaa kwa nini hajadekiwa barabara kama ilivyokuwa kwa Lowassa!
Uzuri wa siasa za upinzani Tanzania, wagombea Urais huingia kwenye uchaguzi kwa mbwebwe na baada ya uchaguzi huanza kupotea polepole!
Tanzania kuna vituko!
Mmeshanza kushutumiana na bado!Blah Blah