#COVID19 Yaliyojiri katika mjadala wa Wasiochanjwa katika Club House ya Jamiiforums tarehe 12/11/2021

#COVID19 Yaliyojiri katika mjadala wa Wasiochanjwa katika Club House ya Jamiiforums tarehe 12/11/2021

1.Kwa Nini chanjo ya surua inazuia lakini ya Corona inapunguza tu makali ya kuumwa lakini kirusi unakipata na unakisambaza vizuri 2.Mnakopeshwa pesa ili mnunue chanjo ambayo haizuii ugonjwa ni ujinga 3. Kwa Nini ujerumani wao ndio watengeneza chanjo ya Pfizer kwa Sasa maambukizi yamepamba moto
 
Kwani mkiweka hum tkajadili kuna shida?
 
mtaongea sana ila mimi labda mnichanje nikiwa sijitambui lbda niko hoi na kitu fulani tu.

ila nikiwa mzima kama hvi mtachonga sana
 
Vibaraka wa covid, wamerudi tena Kwa Kasi...wamekula pesa za Watu Sasa lazima wazifanyie kazi.

Km covid IPO, basi ipo Kwa baadhi ya Watu, mbona Watu hawavai barakoa na usafiri wanabanana?

Mbona maisha yanaendelea?

Msitufanye Watanzania wajinga.magufuli alishamaliza,mkilazimisha yatawatokea puani
 
Back
Top Bottom