Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ataingia na ile ID yake ya akiba
Mkombe...licha ya kuwa na watu wanaoonekana wana mipango mizuri lakini Lowasa hakutambua janja hii?? Naona mpasuko mkubwa ndani ya CCM baada ya hapa.
haa haa lowasa akitaka amfuate mramba ukonga afanye hayo unayosema kwenda uko act.
Hapo umechemsha na unaonyesha jinsi gani usivyo mchambuzi mzuri wa siasa za kibongo sababu kwa hatua hii iliyofikia kila kitu kipo automatic kabisa. Hapo Membe anakwenda moja kwa moja kupeperusha bendera ya CCM,hoja yako ya kuwa eti Membe ana makundi hiyo haina mashiko sababu ukizungumzia hiyo hoja Membe angetakiwa atoke na Mamvi kwenye hatua hii cha kushangaza kapita. Kuhusu hao wanawake ni mapema sana kuweza kushika nafasi kama hii hao wamewekwa hapo kwa ajili ya Gender tuu na kwenye hatua inayofuata mmoja lazima atoke na kwenye Mkutano Mkuu mmoja atakuwa Mgombea Mwenza na mostly like Magufuli atakuwa P.M.
Akienda kwa msaliti wa chadema ndio kabisa maana msaliti plus fisadi wananchi wanakuelewa tu.
Kabisa...............Jk kaamua kuipasuapasua ccm na kuisambaratisha kabisa.
Mkuu,licha ya kuwa na watu wanaoonekana wana mipango mizuri lakini Lowasa hakutambua janja hii?? Naona mpasuko mkubwa ndani ya CCM baada ya hapa.
Sina mengi Ila jiandaeni kuongozwa tena na Familia ya Kikwete.
Kama Ukawa hawatashinda basi kile kilio cha kusaga meno cha miaka 10 ijayo cha kuongozwa na Familia/ukoo wa Kikwete kinaanza tena.
Ni mateso mengine ambayo sitaweza kuyavumilia
hata kwa goli la mkonohapo ujue rais atakuwa jk kwenye pazia. ukawa jiandae kwenda magogoni....
kwa hili namtetea makamba. kwani nomination tayari ngazi ya nec?
Zama za kuamini kuwa mgombea wa ccm ndo rais zimepitwa na wakati mzanzibar tena mwanamke haitatokea.
wakuu wapi mzee kingunge? hapajaanza kujichimbika?