Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,503
Do you think so?UKAWA kazi kwao maana wamerahisishiwa kazi.
Kwa tume hii na sheria hizi za uchaguzi bila kusahamu enforcement agency.
Mtazamo wako unahitaji uvumilivu mkubwa kifikra!
Hebu iangalie na kuisoma body language ya bosi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa, Jaji Damian Lubuva kwa Rais Kikwete!
Nadhani utaelewa maana ya kile ninachokisema!