Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mkuu,
Mimi siku ile anatangaza nia ya kuwa mgombea niliangalia/kusoma body language nikagundua kuna mtu/kikundi kiko nyuma ya Makongoro Nyerere.

Makongoro alikuwa ni proxy solder huku akitumia majukwaa ya kuomba udhamini kama uwanja wa kumwaga sumu ambayo viongozi wa juu wa CCM walishindwa kuimwaga.

Hata mdahalo maalum wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere lililofanyika juzi lilikuwa na malengo yale yale aliyokuwa akiyatafuta Makongoro.

Butiku, Warioba na Polepole walitumia muda mwingi kwenye mdahalo kumshambulia Lowassa na watu wake.

Hii ni video ya yaliyosemwa katika Mdahalo huo maalum

[video]https://youtu.be/d8SdnhJNOlM[/video]

licha ya kuwa na watu wanaoonekana wana mipango mizuri lakini Lowasa hakutambua janja hii?? Naona mpasuko mkubwa ndani ya CCM baada ya hapa.
 
WAMETUWEKEA BABA MDOGO!!

IS THIS A FAMILY COUNTRY?

WAJUMBE WA NEC SUSIENI UJINGA HUU,THIS IS QUIET NOT FAIR!!

CHAGUO LA WENGI NI LAZIMA AREJESHWE!!

WE ARE NOT A SULTANATE COUNTRY!!

MKAPA,MWINYI SAIDIENI KUTUONDOLEA UDIKTETA HUU!!

THIS IS TOO MUCH!!/

**DEMOKRASIA ITUMIKE ZAIDI WENGI WAPE**

**TAIFA INAELEKEA WAPI? ENDAPO DEMOKRASIA INAPUUZWA**/ii

Hama chama....Ama kaanzisheni chama chenu
 
ccm wamebugi hayo majina huyo migiro u.n ilimshinda, makamba bado mtoto, magufuli ni mtekelezaji na sio kiongozi, membe hamna kitu hapo na huyo asha sijawai kumsikia, ukawa jiandaeni kuchukua nchi. PEOPLEES
 
Jamani ndo nimekurupuka usingizini, eti Lowasa kakatwa? Kwikwikwikwi.... ndo maana naona wastaarabu tu humu ndani, dah mbwembwe zote zile! Walahi ningehama nchi, kwikwikwi....
 
Jamani ndo nimekurupuka usingizini, eti Lowasa kakatwa? Kwikwikwikwi.... ndo maana naona wastaarabu tu humu ndani, dah mbwembwe zote zile! Walahi ningehama nchi, kwikwikwi....

Ndio ville melisa😀
 
Mkuu,
Mimi siku ile anatangaza nia ya kuwa mgombea niliangalia/kusoma body language nikagundua kuna mtu/kikundi kiko nyuma ya Makongoro Nyerere.

Makongoro alikuwa ni proxy solder huku akitumia majukwaa ya kuomba udhamini kama uwanja wa kumwaga sumu ambayo viongozi wa juu wa CCM walishindwa kuimwaga.

Niliuliza maswali kwenye Thread hii,

Hata mdahalo maalum wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere lililofanyika juzi lilikuwa na malengo yale yale aliyokuwa akiyatafuta Makongoro.

Butiku, Warioba na Polepole walitumia muda mwingi kwenye mdahalo kumshambulia Lowassa na watu wake.

Hii ni video ya yaliyosemwa katika Mdahalo huo maalum

[video]https://youtu.be/d8SdnhJNOlM[/video]

Tumekuwa tunaambiwa Lowassa ana 'maamuzi magumu', tunayasubiri kwa sasa hayo maamuzi magumu!

Nilihisi kitu kama hicho hasa pale ile Meli Vita ilipopewa jina la kwa Nyerere na pia Familia ya Nyerere kuwa front kiasi kile,nilijiuliza why this time kikwete anamaliza muda wake ndio aikumbuke familia ya Mwl. Kumbe walishaingia makubaliano ya Makongoro kuja kummaliza Mamvi.
 
ccm wamebugi hayo majina huyo migiro u.n ilimshinda, makamba bado mtoto, magufuli ni mtekelezaji na sio kiongozi, membe hamna kitu hapo na huyo asha sijawai kumsikia, ukawa jiandaeni kuchukua nchi. PEOPLEES

ukawa wakiacha ubinafsi wakajipanga vizuri mwaka huu ni wao....
 
EL alidai kwamba yeye na JK hawakukutana barabarani kwa mategemeo kwamba asingeweza kuruhusu akatwe.alisahau kwamba kidesturi sisi watu wa pwani hatuaminiki kimaamuzi.leo nacheka na wewe,kesho nacheka na adui yako.
 
safi sana ccm kwa kujichimbia kaburi lenu yani mnamptisha mtu kama makamba hafu mnawaacha akina mwandosya, sumaye, augustino n.k tegemeeni msiba
 
Back
Top Bottom