CHICHIEMu wametufanya sie mazoba kwa kweli. Yani unaona kabisa aina ya wagombea wanayemtaka, na nia ya😵bviously sasa liko wazi kutakuwa na mwanamke kwenye tiketi yao, obviously iko wazi Hakutakuwa na mzanzibari, kwani wamemchukua mzanzibari asiyejulikana kuliko wote(ingawa,niwe muwazi kuwa Amina, is a remarkable lady, with the highest dignity).
Yani hapo hii ngoma ni kati ya magufuli na Membe, ukizingatia kuwa Magufuli uzoefu wa mambo ya nje ni nukta nukta sifuri, hivyo basi chaguo la jamaa ni Membe.
Kutokana na Upepo utakavyokuwa Asha can as well be president, while magufuli is now the strongest contender for Next PM should he lose the nomination. Sidhani akikosa atafaa kuwa Makamu.
Makamba,well,it says a lot when a young nominee is chosen in favour of men as qualified as Ramadhani, just for the mere reason he is young. Lowassa with all his shortcomings is 100 times better than Makamba any time of the day...,