Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

CHICHIEMu wametufanya sie mazoba kwa kweli. Yani unaona kabisa aina ya wagombea wanayemtaka, na nia ya😵bviously sasa liko wazi kutakuwa na mwanamke kwenye tiketi yao, obviously iko wazi Hakutakuwa na mzanzibari, kwani wamemchukua mzanzibari asiyejulikana kuliko wote(ingawa,niwe muwazi kuwa Amina, is a remarkable lady, with the highest dignity).

Yani hapo hii ngoma ni kati ya magufuli na Membe, ukizingatia kuwa Magufuli uzoefu wa mambo ya nje ni nukta nukta sifuri, hivyo basi chaguo la jamaa ni Membe.

Kutokana na Upepo utakavyokuwa Asha can as well be president, while magufuli is now the strongest contender for Next PM should he lose the nomination. Sidhani akikosa atafaa kuwa Makamu.

Makamba,well,it says a lot when a young nominee is chosen in favour of men as qualified as Ramadhani, just for the mere reason he is young. Lowassa with all his shortcomings is 100 times better than Makamba any time of the day...,

Big up ''Mkuu'' for wise and learned explainations.
 
attachment.php
 
Lol....team lowasa siwaoni ,nitafuteni nipo hapa bar ya Raibow dodoma ...siwaoni kabisa au mzee amekatwa ...uwiiii
 
...ngoja madaktari wao waje kuleta ripoti....
 
Kikwete ni raisi wa Tanzania lakni sio Mungu.hawezi kutuchagulia watu wakati yeye mwenywe ni failure.
 
Kwa hakika nimefurahishwa sana na CCM, kuna wagombea wawili nilikuwa sitaki wapite na hawakupita.

Si siri, wa kwanza Nyerere wa pili Lowasa.

Nyerere kwa sababu hafai kuongoza hata nyumba kumi wacha kuwa Rais na Lowasa kwa sababu ni mgonjwa.

Hao waliobaki, yeyote atakaepitishwa ntamkubali kwa roho moja.
Hii kiboko! wawili tuu basi?hii kiboko haya tuambie katika hii top 5 chaguo lako ni yupi?
 
jk kaamua kumbeba membe jumla . duh mi nasubiri tu hapo dodoma pachimbike maana kingunge alisema lowasa akikatwa patachimbika.
 
Mimi si support sana ccm ila kwa wanaohoji uwezo wa Makamba nafikiri hawamfahamu vizuri dogo ni mzima sana kichwani na naona kuna kila dalili ya kuwa Rais 2025 kama ccm itapita mwaka huu anaweza kupewa wizara ya mambo ya nje. Magufuli kwa utendaji wake wa ukali na kutofahamika sana kimataifa ana nafasi kubwa ya uwaziri mkuu.
 
Nauona mwanzo wa mpasuko mkubwa ndani ya ccm unakuja miezi michache ijayo.
 
Kimweri wala usipoteze muda kujua nani hapo atakuwa mshindi, Mshindi ni Benard Membe wengine ni wasindikizaji wake. Top 3 tegemea kuwaona Membe, Makamba, Magufuri.


Nakubaliana na wewe 90%.,ingawa nadhani ticket ya membe bila mwanamke haiendi kokote. na Asha seems to fit the bill.Ingawa Amina is no slouch either.
 
Sasa ndiyo mapinduzi ya kidemokrasia ndani ya chama. Wazoefu,vijana na wanawake. Naona sasa ni zamu ya wanawake mana upepo wao ulianza kuonekana Siku nyingi
 
Back
Top Bottom