Hahaaaaa.....
Nkwingwa....
Hiyo akaunti ni 'verified'?...
Ngoja nibaki kuwa Tomaso Nkwingwa...
Yaani kwenye Kamati Kuu kuna watu wanaamini Makamba Jnr anaweza kuwa Rais wa Tanzania?
mkuu Balantanda, nimekuelewa vizuri sana. Hamna mtu aliye na nguvu mbele ya chama. Lakini hii ya kumuondoa Lowasa ni kama itakuwa na impact fulani kwa chama kama yale tuliyoaminishwa ni kweli kuwa nusu ya wajumbe wa nec na mkutano mkuu wanamuunga mkono yeye.
Hayuko pekee...na kama asingekuwa na kundi kubwa angaufyata wala asingelalamika wazi vile...magamba jipangeni!
Mkuu,Haa ha ha..upo makini sana kuangalia
Hahaaaaa.....
Nkwingwa....
Hiyo akaunti ni 'verified'?...
Ngoja nibaki kuwa Tomaso Nkwingwa...
Nataka tu kusikia kauli ya Kingunge na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga,Hamis Mgeja na yule alietua kwa chopa pale Arusha maarufu kama "Msukuma".
kabisa nepotism imetawala, hao wote wapo kwa ajili ya maslahi ya mkweere labda magufuli tu
Do you think so?
Kwa tume hii na sheria hizi za uchaguzi bila kusahamu enforcement agency.
Mtazamo wako unahitaji uvumilivu mkubwa kifikra!
Hebu iangalie na kuisoma body language ya bosi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa, Jaji Damian Lubuva kwa Rais Kikwete!
Nadhani utaelewa maana ya kile ninachokisema!
Leo Umeamua Ubadili Na ID Wakati Unajulikana Ni Yule Yule Tu Dada Yetu Mdini Na Usiyempenda Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere. Heko!
yaani watu kama wewe ni mizigo kwa taifa! dini na urais Tanzania vinahusiana nini? akiwa muanglikana au muislam hafai kuwa rais? acha ubaguzi kama unataka rais wa dhehebu lako basi mumchague aongoze dhehebu lenu na si nchi...ikiwa unavyotaka wewe basi rais achaguliwe padri au shekhe! shame on you...
Nhamala,Namhala,
Kama Kikwete amekuwa rais wa Tanzania basi naamini yeyote mwenye akili timamu anaweza kuwa rais pia.
Hahahaaaa......