Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hahaaaaa.....
Nkwingwa....
Hiyo akaunti ni 'verified'?...
Ngoja nibaki kuwa Tomaso Nkwingwa...
Hata mimi bado siamini sana maana kuna hackers wengi sana siku hizi. Hizi account zinaweza kuanzishwa na mtu yeyote. Nadhani listi itakayotolewa na msemaji wa chama ndio itakuwa ya kuipa uzito zaidi.