Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Watanzania tuna shida sana. Ni hoja gani Makamba aliwa kujenga? Ni hekima sana kuwa mkweli hata kwako mwenyewe.
 
lowasa kwa sasa ametia headphone masikioni mwake anasikiliza wimbo unaitwa ..im i wrong?''...
 
hivi kuna udugu kati ya kikwete na membe
 
Mimi nimefurahi zaidi na zaidi, CCM kwa namna fulani wameonyesha ukomavu wa kisiasa. Lowassa ametumia gharama kubwa sana katika mchakato huu wa kutangaza nia na sasa chama chake kimemtosa live! Najiuliza swali moja hapa, haya mabilioni ya shilingi aliyoyatumia yatarudi vipi???? Hakika he is the biggest looser ever! Lakini Rais Kikwete alisema alipokuwa Tanga wiki iliyopita kuwa wagombea wanaotafuta madaraka kwa gharama kubwa, wananchi wawakatae kwa macho makavu. Kikwete ameonyesha kwa mfano.
 

nazisoma sana mkuu tatizo ni hivyo viambata
 
mzee wetu mwandosya tunamjua na heshima yake iko palepale, nafasi ya kuongoza mawaziri ni yake,
 
Hayo ya ccm mnayajua wenyewe UKAWA ndio watatupa serekali 2015-2025 hatuwezi rudia makosa
 
Wadau fungueni Luninga zenu kufatilia mchakato mzima sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…