Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

UKAWA wasipoitumia vema nafasi walioipata wasahau kuja kupata bahati nyingine tena.

Kweli Mkuu huu ndo muda mwafaka wa kuwapumzisha mafisadi. Ccm kaa benchi kwanza mjifunze namna gani wenzenu wanaongoza nchi.
 
Hatuwezi kukubali Membe apite....hana vigezo...watanzania (chama tawala na upinzani) tunamtaka Magufuli
 
Jk is very smart, i like him.

The way he is playing his game I dont see the green party getting to october in one piece.

Though I believe it was in pieces since his nomination in 2005, but i dont see the pieces surviving the current storm
 
Mkuu The Boss, politics sio static, ni very dynamics na zinachange with time!, katika uchambuzi wangu wote, sikuwahi hata mara moja moja kulifikiria jina la Amina!. Kati ya watano hao, sikutegemea CCM ituletee Waislamu watatu wakati wanaelewa fika safari hii ni zamu ya Wakristo, sikutegemea CCM ituletee wanawake wawili wakati wagombea wanawake wameingizwa tuu ili kuzugia kwa ajili ya kuvunia kura za wanawake. Mpaka hapa bado tunamzungumzia mgombea wa CCM, "jamaa yangu" bado ndie rais wetu 2015 ila kupitia nje ya CCM!.

Pasco
Pasco hujielewi. Andishi litakuhukumu.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa baba tunakukubali sana! na tunajua wewe sio fisadi kama watu wanavyoaminishwa hapa! Binafsi sihitaji raisi ambaye ni maskini!

Raisi asiye na pesa za kutosha huwa ni msumbufu ! Atajitahidi hata bibi yake awe bilionea, na kujazana ikulu! hatutaki raisi asiye na pesa za kutosha ambaye atawafanya vitukuu wake kumiliki masemi nchi nzima na kuwa wauza unga China nakulindwa pale wanapokamatwa!

Lowassa unapesa za kutosha! tunaamini ulikua na mapenzi ya dhati kwenda ikulu! sio kuchuma pesa! wmekufanyia roho mbaya tu! Kubwa zaidi watanzania wengi wanakukubali!

Lowassa hujachelewa! tafuta sehem nyingine ya kupitia! Ingekua njema sana kama ukawa wangekupa nafasi hiyo!

Mimi sio mfuasi wa CCM, ila Lowassa namkubali! Lowasa sio fisadi! ila kwakua watanzania tumekariri kua mtu akipata utajiri mkubwa sana tunaanza kudhani kua atakua amefanya ufisadi! kama sio ufisadi watasema Freemasons.

Ukawa mkaribisheni Edo! huu ndo utakua mwisho wa CCM!

Umewahi kuona sehemu yoyote Mtu akashiba PESA?

Bill Gates mwenyewe pamoja na Utajiri wote analala Masaa 4 kwa siku anahangaika kutafuta PESA
 
Mwenye CCM ameshaondoka,huu msukule uliobaki unapumua duniani unafanya nini ingependeza zaidi kama ungeweza kumfuata mwenyewe ili tuliobaki duniani tuweze kupumua kwa raha zetu.
 
hahahaha usijali mkuu ila kama na wewe hujapata muda wa kuyaangalia hayo mavideo yake usiongee kitu,, mi nilikua nasema tumalize kwanza hili lililopo then hayo mavideo tuyaangalie badae wakati akili ipo sawa manaake wengi wetu sa hizi tumechanganyikiwa kwa hasira, furaha ama mshangao ama hata tu kiupambe

Na kweli hayo mavideo hayaeleweki kwa kweli
 
:thumbup:
 

Attachments

  • 1436602550630.jpg
    1436602550630.jpg
    18.9 KB · Views: 328
Wadau,

Amani iwe nanyi. Kiukweli kuna dalili fulani hivi tutaongozwa na rais mwanamke. Ndugu zangu, hamjahisi kitu kama hicho?

Kuongozwa na mwanamke hapana aisee, mi naamini na nitazidi kuamini kwamba mwanaume ndie kiongozi, popote pale, hata akiwa mwanamke mme wake ndio ata call shots
 
Edo forever....!!!

Dr. Slaa chaguo langu la Pili...!!!

Wakimwacha Lowassa, CCM inakufa leo leo... Ukawa mapema wanachukua usukani....!!!

Lowassa nenda kokote UTASHINDAAA...

Tena ukitoka mapema hii kuwa Upinzani wananchi watazidi mara kumi ya sasa kukufuata, najua ww ni SHUJAA WA TAIFA LETU...!!

Umekula Maharage ya wapi weweeeee?
 
lakini ulisema lowasa lazima awe rais ndani ya ccm au nje ya ccm. vip tena mbona umeanza kugeuka?

Hili lijamaa Pasco nimelidharau sana lafaa lipuuzwe kwa Andishi lake.
Hajui kitu kazi ilikuww kujitutumua huku kwenye mitandao ili lowassa amuone anafanya kazi angalau amfikirie!
 
Last edited by a moderator:
Membe kwa mtazamo wangu hauziki
Mkuu usemayo ni kweli kabisa Membe hauziki na atakupasua Chama chake
kwani mpango uliopo ni kumfyeka Magufuli na Makamba ili embe abaki na wale kina Mama hapo atapenya Mkutano mkuu
sasa kweli kwa kashfa za Gadafi atashindanishwa na Dr Slaa kweli na kumshinda?
hapa naona Lowassa anaondoka na watu kwenda UKAWA (Membe hauziki km Wajumbe wa NEC au Mkutano mkuu walione hilo)
cc
Elungata
 
Back
Top Bottom