Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Sasa nayakumbuka yale maneno ya JK aliposema kuwa kuna mgombea aliwachukua watu kwa gari lake wakampigie kura. Alipokosa aliwatelekeza watu hao
teh teh teh EL kawatelekeza mamluki aliowatumia kwa mwaka mzima..
Mkuu nasikia hizo basi zitapigwa mnada hapo hapo Dodoma.. mtujulishe maana tunajua bei itakuwa poa ili kurudisha gharama..