Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Sasa nayakumbuka yale maneno ya JK aliposema kuwa kuna mgombea aliwachukua watu kwa gari lake wakampigie kura. Alipokosa aliwatelekeza watu hao

teh teh teh EL kawatelekeza mamluki aliowatumia kwa mwaka mzima..

Mkuu nasikia hizo basi zitapigwa mnada hapo hapo Dodoma.. mtujulishe maana tunajua bei itakuwa poa ili kurudisha gharama..
 
Hatimaye mafuriko yamezuilika kwa kidole cjui yalikuwa ya mkojo wa nzi?
 
Hakuna kitu kisicho na mwisho lakini mwisho utakuja zaidi pale tu jina la membe likipitishwa kama mgombea urais wa ccm team lowasa wataiua kabisa ccm yangu macho tu
 
UKAWA wasipoitumia vema nafasi walioipata wasahau kuja kupata bahati nyingine tena.
 
Edo forever....!!!

Dr. Slaa chaguo langu la Pili...!!!

Wakimwacha Lowassa, CCM inakufa leo leo... Ukawa mapema wanachukua usukani....!!!

Lowassa nenda kokote UTASHINDAAA...

Tena ukitoka mapema hii kuwa Upinzani wananchi watazidi mara kumi ya sasa kukufuata, najua ww ni SHUJAA WA TAIFA LETU...!!

Shujaaa wako wewe na familia yako c watanzania
 
Atakayeungwa mkono na Lowasa ndiye atapita.Ifahamike kuwa makucha ya JK hayafui dafu ktk kura za NEC na mkutano mkuu.Kama Lowasa ana nguvu huko,tegemea kura za kumkomoa JK,Magufuli anapita kilaini kabisa

Zisipotosha kwa mgombea wa jk zitatoshelezwa zisipotimia zitatimilizwa
cc Pasco.
 
Last edited by a moderator:
nani atamuuza kwa wananchi? amefanya nini cha kumuuza kwa wananchi
wetu magufuli,
 
Lowassa baba tunakukubali sana! na tunajua wewe sio fisadi kama watu wanavyoaminishwa hapa! Binafsi sihitaji raisi ambaye ni maskini!

Raisi asiye na pesa za kutosha huwa ni msumbufu ! Atajitahidi hata bibi yake awe bilionea, na kujazana ikulu! hatutaki raisi asiye na pesa za kutosha ambaye atawafanya vitukuu wake kumiliki masemi nchi nzima na kuwa wauza unga China nakulindwa pale wanapokamatwa!

Lowassa unapesa za kutosha! tunaamini ulikua na mapenzi ya dhati kwenda ikulu! sio kuchuma pesa! wmekufanyia roho mbaya tu! Kubwa zaidi watanzania wengi wanakukubali!

Lowassa hujachelewa! tafuta sehem nyingine ya kupitia! Ingekua njema sana kama ukawa wangekupa nafasi hiyo!

Mimi sio mfuasi wa CCM, ila Lowassa namkubali! Lowasa sio fisadi! ila kwakua watanzania tumekariri kua mtu akipata utajiri mkubwa sana tunaanza kudhani kua atakua amefanya ufisadi! kama sio ufisadi watasema Freemasons.

Ukawa mkaribisheni Edo! huu ndo utakua mwisho wa CCM!
 
dalili zote za kisayansi na kimaumbile zinaonyesha kuwa mwezi November ccm itakuwa chama cha upinzani dah kweli ni vigumu sana kwa chama kimoja kudumu zaidi ya miaka 50 madalakani ccm itaungana na wenzie wakina KANU cha kenya, FRELIMO cha msumbiji, UNIP cha Zambia, UPC cha Uganda kwan wagombea wao wote ni uzito wa nyoya tuliokuwa tunawaogopa wamekatwa ukawa tutamaliza mpambano mapema wakati wengine wanakata tickets huku pambano limekwisha hata tukishindwa kuingia ikulu naona kwa mala ya Kwanza waziri mkuu na spika wa bunge akatoka ukawa hata kama tukishindwa kuingia ikulu tuna run government from back door kwan katiba inasema chama chenye wabunge wengi ndo kitamtoa waziri mkuu ccm kwa sasa wako isolated sana kuliko kipindi chochote kile sasa pia wanakutana na joint venture strike ya ukawa then BVR one person one vote dah kweli ni rise&fall of ccm empire is near than we think
 
Wana bodi,Ule msemo kwamba CCM inamilikiwa na mafisadi unatimia, kundi hilo kubwa sasa linapambana na vifisadi katika kile kinachoitwa kugombea Urais. CCM haina pa kutokea zaidi ya kufa kwa kupoteza katika chaguzi zake zote. Binafsi nilikuwa nina hofu na EL ,Makongoro na Agustino Ramadhani.Ndio wagombea pekee wa CCM ambao wangeweza kupambana na Ukawa. Hawa waliopo ukiongeza na mgawanyiko huu mnyukano ni wazi kabisa kuwa Ukawa watumie nafasi hii nyeti. CCM kwisha habari
Mkuu heshima kwako. Ninaomba tusubiri mzee wetu wa LUMUMBA labada atakuwa na mengi toka DODOMA. Na huyu si mwingine bali VUTA NI KUVUTE wa Lumumba.
 
Watu now wanawacheka team Lowassa ..
tumesahau kuna team Makongoro nao wanastahili pole za kutosha tu
Kwa kweli hiki kilio ni kikuubwa sana

Halafu kuna team Mwigulu ya kina Shonza na Mtella mwampamba
dah.....huu msiba ni mkubwa mno kumbee

poleni saana.....sasa tutazame yajayo


kwa sababu lowasa alizidisha Mbwembwe
 
Huku ni kukifukia chama kaburi asubuh na mapema. Ngoja mimi niweke hakiba ya maneno lakini udini unakiangamiza chama cha Mapinduzi. Ingesound kama wangemtoa na MEMBE lakini kumuweka Membe ni kutaka tuamini sasa kwamba hii vita ya makundi ya kidini imefikia pabaya.

Dadavua vizuri tuelewe.
 
Back
Top Bottom