UKAWA wasipoitumia vema nafasi walioipata wasahau kuja kupata bahati nyingine tena.
Jk is very smart, i like him.
Hakuna kitu kisicho na mwisho lakini mwisho utakuja zaidi pale tu jina la membe likipitishwa kama mgombea urais wa ccm team lowasa wataiua kabisa ccm yangu macho tu
Pasco hujielewi. Andishi litakuhukumu.Mkuu The Boss, politics sio static, ni very dynamics na zinachange with time!, katika uchambuzi wangu wote, sikuwahi hata mara moja moja kulifikiria jina la Amina!. Kati ya watano hao, sikutegemea CCM ituletee Waislamu watatu wakati wanaelewa fika safari hii ni zamu ya Wakristo, sikutegemea CCM ituletee wanawake wawili wakati wagombea wanawake wameingizwa tuu ili kuzugia kwa ajili ya kuvunia kura za wanawake. Mpaka hapa bado tunamzungumzia mgombea wa CCM, "jamaa yangu" bado ndie rais wetu 2015 ila kupitia nje ya CCM!.
Pasco
Lowassa baba tunakukubali sana! na tunajua wewe sio fisadi kama watu wanavyoaminishwa hapa! Binafsi sihitaji raisi ambaye ni maskini!
Raisi asiye na pesa za kutosha huwa ni msumbufu ! Atajitahidi hata bibi yake awe bilionea, na kujazana ikulu! hatutaki raisi asiye na pesa za kutosha ambaye atawafanya vitukuu wake kumiliki masemi nchi nzima na kuwa wauza unga China nakulindwa pale wanapokamatwa!
Lowassa unapesa za kutosha! tunaamini ulikua na mapenzi ya dhati kwenda ikulu! sio kuchuma pesa! wmekufanyia roho mbaya tu! Kubwa zaidi watanzania wengi wanakukubali!
Lowassa hujachelewa! tafuta sehem nyingine ya kupitia! Ingekua njema sana kama ukawa wangekupa nafasi hiyo!
Mimi sio mfuasi wa CCM, ila Lowassa namkubali! Lowasa sio fisadi! ila kwakua watanzania tumekariri kua mtu akipata utajiri mkubwa sana tunaanza kudhani kua atakua amefanya ufisadi! kama sio ufisadi watasema Freemasons.
Ukawa mkaribisheni Edo! huu ndo utakua mwisho wa CCM!
hahahaha usijali mkuu ila kama na wewe hujapata muda wa kuyaangalia hayo mavideo yake usiongee kitu,, mi nilikua nasema tumalize kwanza hili lililopo then hayo mavideo tuyaangalie badae wakati akili ipo sawa manaake wengi wetu sa hizi tumechanganyikiwa kwa hasira, furaha ama mshangao ama hata tu kiupambe
Kwakweli kazi ipo
Wakuu mwenye kujua Asha Rose dini gani?
Wadau,
Amani iwe nanyi. Kiukweli kuna dalili fulani hivi tutaongozwa na rais mwanamke. Ndugu zangu, hamjahisi kitu kama hicho?
Edo forever....!!!
Dr. Slaa chaguo langu la Pili...!!!
Wakimwacha Lowassa, CCM inakufa leo leo... Ukawa mapema wanachukua usukani....!!!
Lowassa nenda kokote UTASHINDAAA...
Tena ukitoka mapema hii kuwa Upinzani wananchi watazidi mara kumi ya sasa kukufuata, najua ww ni SHUJAA WA TAIFA LETU...!!
lakini ulisema lowasa lazima awe rais ndani ya ccm au nje ya ccm. vip tena mbona umeanza kugeuka?
Mkuu usemayo ni kweli kabisa Membe hauziki na atakupasua Chama chakeMembe kwa mtazamo wangu hauziki