watu wa lowasa wamekamatwa na mabegi ya pesa..walitaka kwenda kuwahonga wajumbe wa nec ili kuhakikisha membe hashindi..ni mda mfupi uliopita
watu wa lowasa wamekamatwa na mabegi ya pesa..walitaka kwenda kuwahonga wajumbe wa nec ili kuhakikisha membe hashindi..ni mda mfupi uliopita
dini muhimu wewe, hatuwezi kubali ongozwa na mwislam tena
Hivi ugweno ni kaskazini au kusini mwa Tanzania??
watu wa lowasa wamekamatwa na mabegi ya pesa..walitaka kwenda kuwahonga wajumbe wa nec ili kuhakikisha membe hashindi..ni mda mfupi uliopita
Lowassa baba tunakukubali sana! na tunajua wewe sio fisadi kama watu wanavyoaminishwa hapa! Binafsi sihitaji raisi ambaye ni maskini!
Raisi asiye na pesa za kutosha huwa ni msumbufu ! Atajitahidi hata bibi yake awe bilionea, na kujazana ikulu! hatutaki raisi asiye na pesa za kutosha ambaye atawafanya vitukuu wake kumiliki masemi nchi nzima na kuwa wauza unga China nakulindwa pale wanapokamatwa!
Lowassa unapesa za kutosha! tunaamini ulikua na mapenzi ya dhati kwenda ikulu! sio kuchuma pesa! wmekufanyia roho mbaya tu! Kubwa zaidi watanzania wengi wanakukubali!
Lowassa hujachelewa! tafuta sehem nyingine ya kupitia! Ingekua njema sana kama ukawa wangekupa nafasi hiyo!
Mimi sio mfuasi wa CCM, ila Lowassa namkubali! Lowasa sio fisadi! ila kwakua watanzania tumekariri kua mtu akipata utajiri mkubwa sana tunaanza kudhani kua atakua amefanya ufisadi! kama sio ufisadi watasema Freemasons.
Ukawa mkaribisheni Edo! huu ndo utakua mwisho wa CCM!
huyo ndo aliyetumwa na lowasa....oneni fisadi alivyo na hila
huyo ndo aliyetumwa na lowasa....oneni fisadi alivyo na hila
Uongo tu. Hamna ukweli.
Chama kipi? Mrembo by Nature.
Ni mtu wa Kusini wapi? Kazaliwa Ruvuma lakini ni Mpare, acha uongo.Asha sio Muhaya...Ni mtu wa kusini
Ni muislam
of course sasahivi jamaa atashughulikiwa vizu
ri sana na usalama....
Alidhani akikatwa ataitikisa nchi....hahahahahaha....ngoma ndio kwanza imeanza...TAKUKURU wanambeba
Kisheria hauruhusiwi kutembea na fedha zote hizo....
Sheria gani isiyoruhusu mtu kutembea na kiasi fulan cha hela??of course sasahivi jamaa atashughulikiwa vizu
ri sana na usalama....
Alidhani akikatwa ataitikisa nchi....hahahahahaha....ngoma ndio kwanza imeanza...TAKUKURU wanambeba
Kisheria hauruhusiwi kutembea na fedha zote hizo....
Acha upotoshaji huyo Muhindi n wa membe kakamatwa st gasper , Mimi Niko Dom n gumzo yaan membe hawamtaki na wajumbe wa MM pamoja na NEC wanahasira na JK , kwa taarifa zinaenda kupigwa kura za kukosa iman na Mkiti pia membe hawamtaki live
Acha upotoshaji huyo Muhindi n wa membe kakamatwa st gasper , Mimi Niko Dom n gumzo yaan membe hawamtaki na wajumbe wa MM pamoja na NEC wanahasira na JK , kwa taarifa zinaenda kupigwa kura za kukosa iman na Mkiti pia membe hawamtaki live