Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kingune anahojiwa na Charles Hilary wa AZAM Tv...

Anasema wao wana uzoefu wa muda mrefu...

Anasema tofauti na miaka ya nyuma mchakato wa mwaka huu una mambo ya ajabu tokana na kauli za viongozi wa chama makao makuu na wale walioko Serikalini...
 
Kanda ya ziwa ina wapiga kura wengi kuliko sehemu nyingine yoyote.
 

Pole sana The Boss kama ulidhani Makongoro alikuwa anautaka Ugombea Urais wa CCM kwa dhati. Makongoro alikuwa ni proxy soldier alitanguliza kuja kumrarua Lowasa kwa kuzungumza yale viongozi na wazee wa Chama waliyoshindwa kuongea hadharani/majukwaa dhidi ya uchafu wa Lowasa. Ameshamaliza kazi aliyotumwa sasa hivi anasubiri ahsante yake.
 
Kura za kutokuwa na imani ndio mpango unaofuata na EL amesema yeye hahami

Nimekuuliza swali...Hizo kura zitaitishwa katika kikao gani?

Nani atakuwa mwenyekiti wa hiko kikao hicho
 
Kingunge anasema...

Kamati kuu wamepewa orodha ya wagombea na kazi yao ilikuwa ni kupitia na kutazama na kuwapima na kuwalinganisha na kisha kutoa mapendekezo...

Kamati kuu hawana madaraka ya kutoa maamuzi....!!
 
Wangekua wanapambana hivyo kutetea masilahi ya Nchi tungekua mbali sana, hapo naona kila mmoja anatafuta masilahi yake tu.
 
Kingune anahojiwa na Charles Hilary wa AZAM Tv...

Anasema wao wana uzoefu wa muda mrefu...

Anasema tofauti na miaka ya nyuma mchakato wa mwaka huu una mambo ya ajabu tokana na kauli za viongozi wa chama makao makuu na wale walioko Serikalini...
Tatizo la Kingunge ameshaside, hatasema lolote analotaka kusema.
 

Makongoro aliifanya kazi yake vizuri sana

Job well done
 
Kingune anahojiwa na Charles Hilary wa AZAM Tv...Anasema wao wana uzoefu wa muda mrefu...Anasema tofauti na miaka ya nyuma mchakato wa mwaka huu una mambo ya ajabu tokana na kauli za viongozi wa chama makao makuu na wale walioko Serikalini...
kikafie huko mbali hicho kizee....
 
Japokuwa siiungi mkono CCM, mimi nakuona unaota ndoto ya mchana.

CCM wamejipanga kuanzia na zoezi la BVR huku UKAWA wamefumba macho.

Nape keshasema yake..!

Mugabe naye alishasema kuwa ni upumbavu chama tawala kushindwa uchaguzi.

mkuu kama ktk mistake kubwa walioifanya ccm ni kuruhusu mfumo huu ktk uchaguzi huu thanx kwa aliewapeleka chaka hili.
Kwanza BVR features include

a full range of biometric parameters to identify the votes by fingertips, iris, voice etc

highly customizable software module's for both of input and output settings

comprehensive data logs and reports voters activities monitoring

highest level of security settings for data protection

BVR is provide the highest voters safety and preventing election fraud

BVR is one person one vote .

katika nchi mbalimbali afrika zilizotumia mfumo huu ktk uchaguzi mabadiliko ya vyama kuingia madalakani yamefanyika mfano Kenya, Ghana, Nigeria, Malawi.

hapo cha kujiuliza ni ile BVR machine iliyoibiwa mwanza imepelekwa wapi? ilo ndo swali la ukawa kujiuliza.
 


Absolutely Right.
 
Kingune anahojiwa na Charles Hilary wa AZAM Tv...

Anasema wao wana uzoefu wa muda mrefu...

Anasema tofauti na miaka ya nyuma mchakato wa mwaka huu una mambo ya ajabu tokana na kauli za viongozi wa chama makao makuu na wale walioko Serikalini...
Si ndio hivyohivyo hua wanachakachua Nchi pale bungeni, sasa wanashangaa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…