I'm Tanzanian
Member
- Jul 10, 2015
- 5
- 1
hilo nalo neno mkuu,umeumiza kichwa safi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kufurahisha UKAWA ndiyo wanapambana kuwatafutia CCM mgombea safi.
Wao wanajua lazima rahisi atoke CCM na wengine wamekiri humu na kutaja safu ya viongozi wa CCM watakaounda serikali.
Dr.Slaa kama unafuatilia huu uzi nadhani unajionea mwenyewe utaendelea kuwa rais kivuli tu.
Pia TB Joshua na wachungaji fulani walioteshwa eti ENL ndiye raisi wa JMT awamu ya 5!
Tuliliona hili mapema na kusema ukweli i was really dissapointed. Hivi tuseme chama cha mapinduzi na wazee wote hawa hawakuforesee hili eti unamtoa Lowassa alafu unamuacha Membe??????
Hivi walitegemea nini????
Kama umemtoa Lowassa lazima Membe nae atoke ili nchi itulie. Ila if it happens Membe anabaki basi its either of the two system i collapse au yatokee machafuko na basi nchi wapewe wapinzani.
Kikwete anatakiwa ajue kuwa muda wa kuweka mazingira mazuri na ya amani kwa kustaafu kwake ni huu. Yaani leo huku kila sehemu napita watu wanasema Lowassa kakatwa Membe kabakishwa na wanaamini ni influence ya Familia ya MKUU kwa sababu Membe na Migiro wote ni watu wa karibu na familia ya mkuu.
Honeslty hali sio nzuri ndugu yangu, hawa jamaa maamuzi yao yanaliangusha taifa rasmi. Tuombeni.[/QUOTE
Hakika Huwa Najivunia Sana Kuwa Na Watu WANAOJUA KUFIKIRI Na WENYE AKILI KAMA Wewe Humu JF. Mkuu Nimependa Ulichokisema Heko!
Yeye ni nani mpaka wambembeleze namna hii, aliingia ubia na nani kuwa lazima awe rais
Tatizo lako umejaaa Udini,Ukanda ,Ukabila
Tanzania we are past that
Again uache tabia yako ya kukomaa kuaminisha kwamba una uhakika sana na Mambo.........Kumbe ni bendera
Habari, samahani mimi nipo nje Mada, nilikuwa nauliza hivi Upinzani ikishika dola, je madeni ya nchi inayodaiwa watayalipa au automatically yanafutwa nchi inakuwa haina deni kwani wanaotawala sio wa siku zote?? Nawasilisha.