Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Sawa kabisa, hakuna mtu ambaye yuko juu ya Serikali. Lowassa akileta mchezo atupwa ndani.
 
Ninawalaumu watoto wake kuendelea kumruhu kusimama na kushiriki siasa katika umri ule. Kaichafua historia yake nzuri aliyoijenga kwa umri wake wote kwa kushabikia wapuuzi katika nchi

Unakosea kusema watoto wake sema mtoto wake Kinjeketile au KINJE
 

Naisubiria kwa hamu xna hyo tatu bora ili tujue nani ataingoza tanzanini kwa awamu ya tano
 
lazima tukukate tuuu we iweje upate wadhamini milion 48 wakati tanzania nzima tupo milion 45 tu?? tungekuacha vipi kwa mfano yani??
 


napata wasiwasi...Hivi inawezekana kweli Lowasa akahonga watu wote hao?
 
Ni wakati Wa Watanzania kuwapa wapinzani kura, sioni ulazima wa waliokatwa kung'ang'ania CCM. kuhama chama sio dhambi wahamie UKAWA.
 
huyu jamaa alikua anajinadi kwa utumishi bora wakati wenzake wanahangaika na media. sijui kama ni mtu ya maamuzi ngumu..mimi naweka karata yangu kwa hii mtu.
 
Karamagi anasema Halmashauri kuu ndio wateuzi ....

Kwahiyo hakuna cha majina matano wala nini..??

Kificho anasema "Kazi nzuri na ameridhika sana?"

Ngeleja anasema...

Anaheshimu maamuzi ya chama na hapa walipofika ni pazuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…